Inasikitisha pale rais wetu mpenda jk anapozdi kuwakumbatia na kuwapa nyazifa viongoz waliomwagwa na kukataliwa na wana nch katika mchakato wa uchaguz 2010.
Mfano Kamala aliyekua mbungd wa nkenge, malmo.
Kwani hakuna wa2 wengine wanaoweza kukaim nafasi hyo?
kwani ukishindwa ubunge ndo umeshindwa kutumikia taifa kwa majukumu mengine? Mbona mna umaskini mkubwa wa mawazo jamani? Mmeona ubunge ndiyo mwisho wa kila ki2?. Nendeni mkajifunze cyo mnakurupuka2 kama mnatoka msalani
Last time Mh. Membe alisema kuwa balozi hakuna vigezo rasmi. Ni pale ''IKIMPENDEZA RAISI'' unalamba ubalozi. sio jukumu letu kuhoji maana tulishampa raisi mamlaka ya kupendezwa na watu flani. katiba mpya ndo suluhisho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.