Francis Godwin
Member
- Jun 9, 2011
- 16
- 7
RAIS Jakaya Kikwete ameagiza viongozi wa wilaya mpya wa WANGING'OMBE mkoa mpya wa Njombe kuondoa MVUTANO wa makao makuu ya wilaya hiyo ambapo na kuwa Kama watashindwa kuafikiana Kati ya Kata ya WANGING'OMBE na kata ya ugwachanya basi ataamua yeye,huku akidai kuwa wakuu wa wilaya wapya na wale wa mikoa mipya Uteuzi wake kabla ya Desemba mosi mwaka huu.