Kikwete Knows Well,KENYA will monopolise East Africa

Status
Not open for further replies.
Jamani msiwaogope Wakenya hakuna kitu hao. Tai shingoni, sigala mkononi lakini hawana pesa mfukoni!!!!!Wtz tuchangamkie East Africa Federation, nendeni Botswana ulizeni Watz na Wakenya nani vichwa? Ardhi tunayo kuliko Kenya, Siasa Safi tunayo Kuliko Kenya,Watu tunao kuliko Kenya, Bora viongozi tunao kama Kenya. Kwanini tuwaogope??? Mie MTZ nina Ofisi Tomboya steet Kenya na ninawapelekesha kikweli kweli.

hakuna kitu, ati Ofisi Tom Mboya street, wapi? hahahahaha.. Usifanye nicheke bure, nimwaye chai yangu kwenye computer, you retards are really compairing Tanzania to Kenya, as in seriously, mnapimanisha literacy level yenyu na ya kenya you supersticious Tanzanians, thats sick. I have been to both countries and mayne I cant even speak. Tuongee on a neutral point of view, you guys are just horrible, your work ethics are pathetic, slow like hell, shallow, uninteresting, nimekaa nanyi nawajua, its sad that you still deny some truths which am trying to illuminate on your blind self... you Chose Kikwete for president coz Ni99a is handsome..LMFAO.. you are pathetic, go get a life, fcuk the EAC, Its sad we share borders with swahili, now we have to stick around with you.

Do you know what businesess tanzanians do in Nairobi, they sell second hand products as hawkers, with their chagaa accents, its sad that you can come here and lie to us that you do something worthwhile while in the real sense you are just a hawker. Ukimwona Mkenya amevuka border, whether ana work permit or not, ujue there is money there, na si shillingi nne.. We hustle by any means coz hatuna ardhi ya kuinherit, hatuna madini kama nyinyi, tunajitegemea, and we have made it simply because the Nairobism in me made me a hustla. GO FIGURE
 
Nilipata matatizo sana na Smatta, ingawa sasa naona kuna unafuu. Mpaka thread zilifungwa kwa sababu ya vita kati yetu. Anachotaka yeye, ni kufanya biashara, sasa afanye, nguvu za soko (market forces) zitakuhukumu. Nomasana ndiyo kabisaa, yeye hata mshipa wa aibu kwa wenyeji huwa hana, mwache anyee kambi.Hawa ndio wa kula makofi na kina Kayundi, kama mchangiaji mmoja alivyosema, maana wao ni madharau tu.

Shida yangu nyingine, ni maslahi ya watanzania kwanza, maana nchi yetu ni bingo, ndiyo maana kila mtu macho yanamtoka, mpaka imetajirisha Wakenya kupitia mbuga zetu na Mt. Kilimanjaro, na ikajenga Nairobi. Ziwa Victoria ndiyo usiseme, Kenya ina 9% ya ziwa lakini wana export samaki kibao, zote wanaiba kwetu na Uganda (ila sisi ndio tuna sehemu kubwa). Kama TZ ingekuwa ni kama Somalia, Kenya ingefulia kinoma, maana inafaidika sana kwa mgongo wetu.

Mimi suala la Federation silitaki kwa sababu watu mkiwa nchi moja, nusu ya population za jirani zetu wote watahamia Tanzania. Mbaya zaidi, wanakuja na jembe la mkono na kujenga nyumba za nyasi, sasa ndicho tunachohitaji.? Tukumbuke kuwa Wamasai wetu na wakulima wa Kilosa wakati mwingine zinapigwa kwa sababu ya masuala ya ardhi, sasa tukiongeza wengine itakuwaje. Kujenga mazingira bora ya biashara inatosha, na tuishie hapo. Tusipende kuiga mambo ya EU, sisi sio wao, ukiiga tembo kunya mwishowe utapasuka msamba. However, kama kuna mjumbe yuko tayari kunielimisha faida ya Federation kwenye mazingira yetu ya kimaskini, na vita na ukabila wa nchi jirani, niko tayari kujifunza. Iwapo Sweden nchi iliyoendelea bado inalinda maslahi ya watu wake kwenye ajira kwenye EU , je sisi. Nuff said!
 
Sentensi ya mwisho hapo juu (kuhusu Sweden na ajira, nimemnukuu Mh. Eliekeem. Nisije nikashtakiwa kwa plagiarism, hah ha hahaaaaaaaaaaa.
 
BTW, Smatta, FDI Tanzania, the minimum amount ni USD 300,000 na minimum kwa mwekezaji wa ndani ni USD 100,000 tu. Unapata certificate of incentives na mambo kibao.
 
Nilipata matatizo sana na Smatta, ingawa sasa naona kuna unafuu. Mpaka thread zilifungwa kwa sababu ya vita kati yetu. Anachotaka yeye, ni kufanya biashara, sasa afanye, nguvu za soko (market forces) zitakuhukumu. Nomasana ndiyo kabisaa, yeye hata mshipa wa aibu kwa wenyeji huwa hana, mwache anyee kambi.Hawa ndio wa kula makofi na kina Kayundi, kama mchangiaji mmoja alivyosema, maana wao ni madharau tu.i. Nuff said!

Nothing said. I really dont know when you will understand that this federation will continue with or without your nod. If the concerned Gvts wanted to hear if their people wanted this federation, we would vote or go to a referendum or something (Achana na hiyo Research iliofanywa ya kuangalia nani anataka na nani hataki).

Its already fascinating that some of y'all are beating war drums against us while in the real sense you know that there is nothing you can do to us except shout in this here forum, when we meet in person the worst you can do is smile. Lets be real for once, if the elites in your country feel the EAC is good for y'all, then its a done deal, they wount hesitate to put pen on paper.

You are rejoicing right now coz some clauses, (Land, free movement of labor, Citizenship) were not agreed on, what you fail to understand is that, your country right now is on campaign mode, everyone wants to be nice to the people to get a vote (including JK), everyone wants to look like he cares for the farmer in Mbeya, for the poor person in Moshi, what you are not seeing is that this thing will be brought to the table again by the member countries for discussion, few amendments will be made, and they will finally be entrenched in the federation and everyone will be happy.
 
Smatta! Hiyo hela ya ya FDI niliyokwambia unayo! Au unakuja kuuza vyuma chakavu, hiyo hatuhitaji foreigners kuifanya! Hata hivyo, nyie ni desperate creatures, mnapenda kufa maana mlishakata tamaa ya maisha. Sasa fieni kwenu, msitulazimishe kutenda dhambi ya mauti. Wewe ni mtu wa kui-gnore tu, unatupotezea muda. Wajumbe wenye akili wameshakueleza, sina cha kuongeza tena! Una nini cha ku smile, wakati huna hela, kama zipo ni wale wale wa money laundering! TIN yako ni namba ngapi? Umefulia!!!!!
 
yani you expect me to give you personal info kwenye net, umeshaanza kuvuta yale madude. Nilikuambia Kanyabwoya, the end justifies the means, hustle by any means, jua kutafuta hela, hiyo degree yako pofu pofu ya mwaka moja usidhani inaeza fanya mimi nikuheshimu, I only respect individuals who can buy their own bread, wacha kuongea mtoto mdogo wewe.

Please smatta, dont write these words in JF, tafadhali sana mazee!! You need to apologize
 
Please smatta, dont write these words in JF, tafadhali sana mazee!! You need to apologize

My apologies, I take back my words, lakini the dude's been breathing down my neck as if I owe him something, he's getting to my nerves.
 
Wakenya wanajua kiingereza tu, ila wababaishaji sana na bwebwe nyingiiiii!!!
Kwanza watapigana vita vya kikabila sasa hv ndo tutakapo wa over take hapo. Hawana kikubwa mno cha kutisha
 
Yeye anatukana, halafu anakimbilia kwa moderator kushtaki ili thread ifungwe. Si mhuni huyu, jamani what do we do with this thug Smatta? Kwani nani anamtegemea mwenzake kwa bread hapa hapa JF? au unatumia kamasi kufikiri! These Nyang'aus tutaishi nao sisi? Wewe utakuwa ni mwizi mwizi tu, just like the other 14 kina Gitaus tuliochapa kule Moshi! Wakenya nyie ni maskini wa mali na akili.
 
but i hope kuna Kenyans wana akili nzuri, lakini siyo Smatta. Huyu atakuwa anatembea na chupi kichwani hapa Tanzania. Tatizo sijui anataka biashara gani, sijui ni mwekezaji au mchuuzi. Kuna wakati anasema eti waTZ are confined with their borders anayoita comfort zone. Anajua kwamba waTZ madaktari na ma-engineer walikwenda kwa wingi kule nchi za kusini na wengine wanamezeekea huko. Kwanini, kwa sababu kunalipa na kuna friendnly atmosphere, waTZ wanaheshimika kule. Yeye anataka watu eti waende Kisumu, si kama kwenda Jehanam, si suala la kwenda nje, it depends on what and where you want! W R not that desperate, unlike you who r Kamikazes!
 
i meant within their borders hapo juu, siyo with their borders, a typo error! Hapo nusu akili Smatta ndipo anapopatia point! kwenye non issues!
 
Ab-tchaz, naomba huyu smatta na mwenzake kayundi2 na wengine waelewe, watz ni watu ambao wanafikiri kwa undani kila jambo kabla ya kuvamia, na ndiyo maana we are the stable nation in the bloc and entire africa. when you talk about tz you real mean it. because every dweller of the territory is a vigilant player of any affair within the border.


Ni kweli kabisa, Zamani wakenya walikuwa wanatuonea kwa maneno, Na kuona kwamba wao ni zaidi. Nafurahi kuona kuwa sasa tunafanya kweli, Ni suala la muda tu , Na hasa tatizo liko kwa viongozi wetu ,Mabadiliko ya kweli yakifanyika na tukapata Viongozi wenye moyo na TZ nina hakika watatusikia tu.
 
my bro kanyabwoya, my bro MTM, malafyale Mpuguso,
hapa kazi ipo,
Hivi mumegundua nini, let use their deserved name, I used to spare, hawa NYANG'AU wana UWEZO MDOGO SANA WA KU ANALYSING THINGS IN BROAD CONTEXT. NIMEGUNDUA KUWA HAWAELEWI MAANA YA VITU VINGI,
MFANO WANASHINDWA KUTOFAUTISHA KATI YA AGRESIVE NA GREEDY, HAWAWEZI KUTOFAUTISHA KATI YA BUSINESS PERSON NA PETTY TRADER.

NAJARIBU KUTAJA TU VITU VICHACHE KATI YA VINGI NILIVYOGUNDUA.

PIA UKITAJA KUHUSU KUTANGULIZA MASLAHI YA NCHI (TAIFA) MBELE smatta hapo ndiyo haelewi kabisa.
NAJUA KWA NINI...? YOU KNOW WHAT? WENYEWE WALISHAIUZA KENYA SIKU NYINGI KWA UKOO WA KENYATTA, MOI, SETTLERS NA KIKUYU. SASA KILICHOBAKIA NI KILA MTU KUNYAKUA PALE UNAPOPATA NAFASI. UBINAFSI WAO UMEWAFANYA WASIWE NA AKILI KABISA. WEWE HAIWEZEKANI KATIKA KENYA NZIMA 98% YA ARDHI INAMILIKIWA NA WATU ONLY 5%. HIYO HAIPATANI NA AKILI. HATA MIMI WANAPOJIGAMBA KUWA WE ARE GOOD IN QUEEN LANGUAGE, THAT IS BULL SHIT. WA UK WENYEWE THEY EVEN DONT BOTHER TO KNOW WHAT KIND OF VENACULAR YOU SHIT ARE USING. LAKINI KWA smatta UKIMUELEZA HILI HATA HAELEWI KABISAA. HAKUTAKUWA NA AMANI KAMWE IKIWA WATU WENGI WANAISHI KWENYE UFUKARA WA KUPINDUKIA KIBERA NA MATHARE, HUKU WACHACHE WAKIWA WANAKULA KUKU NAIROBO HILL. HAPO LAZIMA PATAKUWA NA STRUGLE TU. HAWA WANYONGE WATAPIGANIA UHURU NA MASLAHI YAO KWA KUTUMIA VYAMA WANAVYOVIJUA WAO KAMA MUNGIKI AND THE LIKE.

NIMEKUWA NIKIWAAMBIA KILA SIKU KUWA MUMESOMA SANA MADARASANI LAKINI HAMUKUELIMIKA KUIELEWA NCHI YENU VIZURI. KWA SABABU KUNA VITU VIWILI TOFAUTI KUSOMA MADARASI NA KUPATA ELIMU. NINYI NYANG'AU HAMKUPATA ELIMU ILA MUNAJUA TU KUSOMA NA KUANDIKA. NDIYO MAANA YOUR COUNTRY IS STILL COLONISED BY BOTH EXTERNAL AND INTERNAL AGENTS OF COLONIALISM. SIKU ZOTE NIMEKUWA NIKIKAA KIMYA KWA HILI.... LAKINI LEO NAWAAMBIENI NENDENI NAIROBI MKAUNG'OE UTAWALA WA WAKOLONI WA VIBARAKA NA WAGENI. KAMA HAMUNIAMINI GO AND READ THE EAST AFRICAN ROYAL COMMISION REPORT (1954) THEN YOU WILL GET WHAT I MEAN HERE. KUNA VIBARAKA WENGI KATIKA NCHI YENU LAKINI HAMTAKI KUWANG'OA HALAFU MNAOTA NDOTO ZA MCHANA ABOUT TANZANIA, THAT IS SHIT HAPPENING.

YOU ARE VERY HARD TO LEARN, MUMEKUWA MKIONA WATU WAELEVU KAMA MUGABE WAKIPIGANIA UHURU SASA LAKINI YOU DONT GRASP. THE CURRENT SITUATION IN ZIMBABWE NI SAWA NA YA KWENU LAKINI TOFAUTI NI KWAMBA ZIMBABWE WAMEELIMIKA NA KUJUA MAANA YA WHAT YOU REAL MEAN IF YOU SAY I'M ZIMBABWEAN. IS HAVING THE LAND, THEY UNDERSTAND THE CONCEPT OF HOME (MASKANI) AND LAND, YOU DONT HAVE LAND THEN HERE IS NOT YOUR HOME. THESE THINGS ARE INTERCONNECTED.

MUGABE TOGETHER WITH OTHER ZIMB'ANS BELIEVE THAT UNLESS WE HAVE DONE A DISTRIBUTIVE LAND REFORM, ZIMBABWE IS NOT INDEPENDENT STATE (REFERS LANCASTER HOUSE AGREEMENT OF 80's) THAT IS WHY MUGABE PLUS OTHERS ARE READY TO DIE FOR THIS.

LAKINI NYIE NYANG'AU WALA HAMUONI UMUHIMU WA KUANZISHA DISTRIBUTIVE LAND REFORM MOVEMENT, KAZI KUUA TU MASKINI WASIO NA HATIA. kayundi2 YEYE ANAFIKIRI KUWA ILE BAJETI YA WIZARA YA ULIZI IKO KWA AJILI YA NYANG'U NYANG'U KAMA YEYE, HIYO IKO KWA AJILI YA WENYE KENYA WANOISHI NAIROBI HILL ILI KUDHIBILI KELELE ZA MASIKINI WA WATU WENYE NJAA HUKO KIBERA.

LASTLY, NINGEKUOMBA MOD ABT-TCHAZ UIFUNGE HII THREAD BECAUSE WAS NULL AND VOID ABNITIO.
THE THREAD TITLE PLUS THE CONTENTS IS NOT CONSTRUCTIVE AND UPBULDING AT ALL like EAC ITSELF. NA IF POSSIBLE DECLINE narrow minded smatta, nomasana, kayundi2 from BRINGING UNPLEASANT SMELL OF THOUGHT KWENYE JUKWAA LETU.

ALASIRI NJEMA.
 
LASTLY, NINGEKUOMBA MOD ABT-TCHAZ UIFUNGE HII THREAD BECAUSE WAS NULL AND VOID ABNITIO.
THE THREAD TITLE PLUS THE CONTENTS IS NOT CONSTRUCTIVE AND UPBULDING AT ALL like EAC ITSELF. NA IF POSSIBLE DECLINE narrow minded smatta, nomasana, kayundi2 from BRINGING UNPLEASANT SMELL OF THOUGHT KWENYE JUKWAA LETU.

ALASIRI NJEMA.

eliakeem, nakuelewa lakini naomba wasifungee huu mjadala, ni kwa kinywa chake tu ndipo utamwelewa jirani yako!!
 
LASTLY, NINGEKUOMBA MOD ABT-TCHAZ UIFUNGE HII THREAD BECAUSE WAS NULL AND VOID ABNITIO.
THE THREAD TITLE PLUS THE CONTENTS IS NOT CONSTRUCTIVE AND UPBULDING AT ALL like EAC ITSELF. NA IF POSSIBLE DECLINE narrow minded smatta, nomasana, kayundi2 from BRINGING UNPLEASANT SMELL OF THOUGHT KWENYE JUKWAA LETU.

ALASIRI NJEMA.

This is BS, Keep my name out of your mouth son, do you think I wake up and log in to this forum to impress fruits like you? Unlike you and most of these fruits, I speak my mind, like it or not, I say what I feel like, not caring whether i hurt your fragile ego or not, I speak the truth, and am not the only one thinking like this, everyone knows its a fact. log off and get a life B.
 
This is BS, Keep my name out of your mouth son, do you think I wake up and log in to this forum to impress fruits like you? Unlike you and most of these fruits, I speak my mind, like it or not, I say what I feel like, not caring whether i hurt your fragile ego or not, I speak the truth, and am not the only one thinking like this, everyone knows its a fact. log off and get a life B.

Karibu tena!
 
Karibu tena!

nishakaribia, am trying to be as polite as possible, but some fruits keep coming at me, am reaching my elasticity level, but i'll just keep cool, coz this cats is crazy.

SMATTA
 
This is BS, Keep my name out of your mouth son, do you think I wake up and log in to this forum to impress fruits like you? Unlike you and most of these fruits, I speak my mind, like it or not, I say what I feel like, not caring whether i hurt your fragile ego or not, I speak the truth,and am not the only one thinking like this, everyone knows its a fact. log off and get a life B.


ucouth, uncivilized, portray themselves by the way they handle their stress. They normally become desparate and bita like you. Now look your toilet, corrupt, greedy government warns you
http://www.nation.co.ke/News/-/1056/806296/-/vmwot5/-/index.html

I dont wonder the way you respond to issues.
Njoo Tz ujifunze uungwana.
 
nishakaribia, am trying to be as polite as possible, but some fruits keep coming at me, am reaching my elasticity level, but i'll just keep cool, coz this cats is crazy.

SMATTA

Try to take trouble to learn to wise both you and your govt, vinginevyo mtakuwa mnatisha na kama hapa.
http://www.nation.co.ke/News/politics/-/1064/803240/-/wuv57vz/-/index.html

mjifunze kuto dhurumu wanyonge wa mathare na kibera ili wasiwe wabaya zaidi ya hatua hii waliofikia ya kuwa mungiki.
Look now they are about to loose their patient.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom