mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Rais JakayaKikwete aliahirisha safari ya ughaibuni si kwa kuogopa kuwaongezea mzigowatanzania kutokana na tabia yake ya kupenda kusafiri bali kumlilia Kanumba,nilishangaa na kuanza kujiuliza huyu Kanumba ni nani ambaye umuhimu wake nimkubwa hivi kiasi cha kuvunja rekodi ya Kikwete katika utendaji wake? Nilijiulizaswali hili kutokana alichofanya wakati wa mgomo wa madaktari ambapohakuahirisha safari yake kwenda kwenye mkutano ambao hakukuwa muhimu sana kuleDavos. Nilishangaa aliposema aliguswa na msiba wa Kanumba kuliko wa watanzania waliokufa wakati wa mgomo wa madaktari.
Haya ni maneno ya Kikwete, Nimeguswa na msibahuu, nilikuwa nisafiri lakini nimeamua kuja hapa kuwapa pole ndugu na wasaniiwote,
Haya ni maneno ya Kikwete, Nimeguswa na msibahuu, nilikuwa nisafiri lakini nimeamua kuja hapa kuwapa pole ndugu na wasaniiwote,