Ngomo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 200
- 95
upepo unaovuma ndani ya chama cha mapinduzi unaonyesha kwamba yale yaliyo mtokea rais mstaafu thabo mbeki wa afrika kusini huenda yakamtokea vilevile rais wapo jk. kwa jinsi gamba la ccm lilivyo vuliwa inaonyesha lowasa kaanza kupata nuru na kazi moja imebaki ni ya mzee mzima jakaya kuondoka. kama zuma alivyo kuwa na bado ni msanii na mapungufu kibao ya dhahiri huenda hata mmasai huyu naye akapita njia ile ile ya kuingia ikulu.