Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,087
- 17,122
Labda itabidi tuvae miwani yenye lens za nguvu kuweza kuziona hizo barabara. Au itabidi tuwashe kurunzi kuzitafuta ziliko. Lakini kama Naibu Waziri alimaanisha safari za kwenda nje then yuko right JK anaongoza. Je mwajua gharama ya safari moja ya JK kwenda nje? Kwa taarifa yenu si chini ya Shilingi za Tanzania Bilioni 3