Kikwete kajenga barabara nyingi kuliko awamu zote tatu?

Labda itabidi tuvae miwani yenye lens za nguvu kuweza kuziona hizo barabara. Au itabidi tuwashe kurunzi kuzitafuta ziliko. Lakini kama Naibu Waziri alimaanisha safari za kwenda nje then yuko right JK anaongoza. Je mwajua gharama ya safari moja ya JK kwenda nje? Kwa taarifa yenu si chini ya Shilingi za Tanzania Bilioni 3
 
@FaizaFoxy, kwenye red: Is is possible that awamu zilijejenga barabara 9,999km? na hivyo Kikwete kwa miaka sita (5 1/2 yrs) akawa amejenga 1km?

Kikwete hajafanya miradi mikubwa yoyote, mingi alikuta tayari imeshanza na malipo yake yalikuwa tayari. Yeye amekuwa 'mfunguzi' au tuseme mzindizu wa hii miradi: Mliman City, Uwanja wa Taifa, Daraja la Mkapa. Hata chuo kikuu cha Dodoma kama sio Mkapa kisimamia tungekuwa tunaongea lugha ya Daraja la Kigambano! Mkapa aliweza kutafuta 'sources' of funds na akasimamia ujenzi.

Muda wa Kikwete madarakani unazidi kuyoyoma, walio karibu naye wamsaidie ili afanye kitu kimoja cha maana, lakini hiii tabia ya 'wapambe' ya kutaka kuanika mapungufu ya marais waliopita haiwezi kumjenga. By the way tumesikia mengi kuhusu Mwl Nyerere, sasa Mkapa. Ni lini tutasikia kuhusu Mwinyi?[/QUOTE]

Nani Mdini hapa? Kila kitu watu wa dini fulani, halafu mkiambiwa Wadini mnapiga kelele eti JK ndiyo Mdini. Acheni ujinga wenu kupotosha historia.
 
@FaizaFoxy, kwenye red: Is is possible that awamu zilijejenga barabara 9,999km? na hivyo Kikwete kwa miaka sita (5 1/2 yrs) akawa amejenga 1km?

Kikwete hajafanya miradi mikubwa yoyote, mingi alikuta tayari imeshanza na malipo yake yalikuwa tayari. Yeye amekuwa 'mfunguzi' au tuseme mzindizu wa hii miradi: Mliman City, Uwanja wa Taifa, Daraja la Mkapa. Hata chuo kikuu cha Dodoma kama sio Mkapa kisimamia tungekuwa tunaongea lugha ya Daraja la Kigambano! Mkapa aliweza kutafuta 'sources' of funds na akasimamia ujenzi.

Muda wa Kikwete madarakani unazidi kuyoyoma, walio karibu naye wamsaidie ili afanye kitu kimoja cha maana, lakini hiii tabia ya 'wapambe' ya kutaka kuanika mapungufu ya marais waliopita haiwezi kumjenga. By the way tumesikia mengi kuhusu Mwl Nyerere, sasa Mkapa. Ni lini tutasikia kuhusu Mwinyi?


Nani Mdini hapa? Kila kitu watu wa dini fulani, halafu mkiambiwa Wadini mnapiga kelele eti JK ndiyo Mdini. Acheni ujinga wenu kupotosha historia.
 
BWM hana Wa kumfananisha katika kuzindua uchumi. Ila anaweze akamfuatia Lula Da Silva wa Brazil
 
Tazama shule ngapi za sekondari wakati wake na awamu zote zilizopita. Tazama zahanati. Tazama vyuo vikuu. Tazama barabara. Tazama viwanda. Halafu urudi useme uyasemayo.
Bibie,
Unazungumzia viwanda vipi? Wameuza kila kitu.
 
Jana nilimsikia huyu waziri mdogo wa biashara anaitwa Nyalandu katika kipindi cha tuongee asubuhi star tv akisema kuwa awamu ya nne ambayo inaongozwa na Kikwete wamejenga barabara nyingi au niseme kilometa nyingi kuliko awamu zote tatu zilizotangulia kwa pamoja. Hivi ni kweli? Je ni barabara zipi?

Barabara nyingi zinaumuka katikati kama zimetiwa hamira!
 
Na hilo pia ni ukweli usiopingika, usisahau na ni Rais pia aliyepokea wageni mashuhuri wengi kuliko yoyote, na ni Rais pia anaetembelea mikoani kuliko yoyote yule. Anaposafiri nje huwa anaenda kwa shughuli maalum.
Yeah, right. Shughuli maalumu kama vile kukutana na akina Shaquille O' Neal.
 
wakuu kikawaida kwa wale ma-surveyor mtanisaidia kikawaida kabla ya ujenzi wa barbara infanyika survey ambayo itaamua barabara ijengwe kupitia wapi na mahala husika, na hizo survey huchukuwa hata miaka kwa hapa kwetu ila kikawaida ni mwaka mmoja kutegemeana na urefu na mazingira inapopita barabara yenyewe, sasa kufuatia ilani ya chama chenyewe yaani sisiemu(ccm) barabara zilishatajwa zitakazo jengwa ktk hiyo ilani sasa tujiulize aliye plan ni nani? na zote ni ktk kiwango cha lami (bitumen) hapo nadhani inajieleza yenyewe sasa nani mbunifu na mtafuta funds ktk ujenzi wa barabara? ===== MKAPA yaani baba mdogo aka.

Napenda kuongoza kidogo, wote tuna njaa kula hakukataliwi, kula basi huku ukifanya mambo yakaonekana kama braza MKAPA, mkuu amekula hadi anasahau waliomkamatia kitoweo (wapigakura wake)!!!!! si uungwana.
 
Tazama shule ngapi za sekondari wakati wake na awamu zote zilizopita. Tazama zahanati. Tazama vyuo vikuu. Tazama barabara. Tazama viwanda. Halafu urudi useme uyasemayo.

Hahahaha hizo shule za kata ambazo hazina walimu? Hayo ni matokeo ya tafu kubwa aliyopigwa na swahiba wake EL.
 
Umesema kweli!

Lakini hapo kwenye red napingana na wewe! Mashirika mengi yamekufa enzi za mzee Ruksa hivyo Mkapa alipoyakuta yana hali mbaya akaamua kuyabinafsisha. Pia kumbuka yote hayo ni matokeo ya Azimio la Zanzibar (miaka '90s).

Kwa hiyo mzee Mkapa hakuwa na jinsi zaidi ya kuyauza hayo mashirika yaliyokuwa na hali mbaya.

thanx mkuu kwa kunikumbusha, ukiona nimerudia tena kuandika hivyo omba mod wanipige ban ya maisha.
 
Jasusi umesahau na Mh. JK kukutana na akina Boyz II Men na Chris Tucker as part of shughuli maalum.
 
almost zote zliliachwa zimekamilika (kwa maana ya feasibility study, financier nk) na Mkapa/Magufuli na baada ya hapo kilichotokea ni delays. Mfano Isuna-Manyoni ilisogea mbele ya muda wa kumalizika,ya kusini tunasikia juu ya kipande kilichobaki, Lusahunga-Kagoma imechelewa kupita kiasi. Labda yeye aliyobuni ni ile ya kutoka Bagamoyo-Kabuku. Na hata hizi walizomalizia 'margin' ya msaada ni kubwa mno ukilinganisha na makadirio ya awali. Aache majigambo, wananchi wana macho wanaona
Jana nilimsikia huyu waziri mdogo wa biashara anaitwa Nyalandu katika kipindi cha tuongee asubuhi star tv akisema kuwa awamu ya nne ambayo inaongozwa na Kikwete wamejenga barabara nyingi au niseme kilometa nyingi kuliko awamu zote tatu zilizotangulia kwa pamoja. Hivi ni kweli? Je ni barabara zipi?
 
Asante mkuu, hapo kwenye red pendekeza adhabu tafadhali!
wakuu kikawaida kwa wale ma-surveyor mtanisaidia kikawaida kabla ya ujenzi wa barbara infanyika survey ambayo itaamua barabara ijengwe kupitia wapi na mahala husika, na hizo survey huchukuwa hata miaka ........mbunifu na mtafuta funds ktk ujenzi wa barabara? ===== MKAPA yaani baba mdogo aka.

Napenda kuongoza kidogo, wote tuna njaa kula hakukataliwi, kula basi huku ukifanya mambo yakaonekana kama braza MKAPA, mkuu amekula hadi anasahau waliomkamatia kitoweo (wapigakura wake)!!!!! si uungwana.
 
Mimi nadhani tathimini yetu kwa Kikwete isianzie kwenye miradi iliyoachwa na mtangulizi wake. Hiyo ni halali kumpa credit Che Ben (BWM).
Tumtathimini Kikwete kwa kuangalia barabara zilizoanza kujengwa na kukamilika wakati wa uongozi wake. Yeye na serikali yake wakiwa ndo initiators, kutafuta fedha za ujenzi, contractors na kujenga mpaka kukamilika.
Kama zipo barabara za hivyo basi tuwekewe hapa na urefu wake tuzione. Otherwise tutakuwa tunampa sifa asiyostahili.
 
Kwa hakika JK amefanikisha km 60 za barabara huko Mwandiga tangu mwaka 2005, hakuna barabara aliyoanza kuijenga yeye kama Rais, tuwe wakweli tusitake sifa za Nyani.
Ile ya Singida Babati si kaanzisha yeye?
 
Mbona watetezi wa kikwete hawatuwekei hapa barabara hizo kilometa 10,000 wanazosema kajenga ni zipi?
Inaelekea walishapiga hesabu zao vizuri! Sasa watuonyeshe hizo zilizojengwa awamu tatu zote abazo ni below 10,000 na watupe orodha ya 10,000 za Kikwete. Vinginevyo tutamke wazi kwamba waziri ni muongo na kama ni muongo tuwatangazie watanzania kuwa mawaziri wetu akiwamo Nyalandu ni waongo!
 
Kwa vile mpaka sasa hakuna takwimu na wachangiaji mada kuhusu kiasi gani cha barabara zilizojengwa kwa kila awamu, naogopa kusema ni awamu hii au ile ndiyo zaidi. Lakini dhana ya kwamba eti Rais anasafiri sana na kwa hiyo hawezi kuwa alijenga barabara nyingi kuliko watangulizi wake ni upungufu mkubwa katika uwezo wakujenga hoja. Ninavyofahamu mimi ni kwamba kumekuwa na hatua nzuri sana kuhusiana na maendeleo ya miundo mbinu katika awamu hizi mbili za uongozi. Kwa mfano barabara za Mbeya - Chunya mpaka Tabora, ile ya Singida mpaka Manyara, Somanga mpaka Ndundu, ile ya Mangaka Tunduru, na nyingine nyingi ni zao la awamu hii ya nne.
hata hizo unazodai kufahamu, zimejengwa? Usije ukawa unatoa hoja kwa kutumia majibu ya mawazhri!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom