Kikwete kairudisha Tanganyika!! next...?

Give us a break will you? This is akin to the the devil having a go at interpreting the Bible and as such we cannot expect anything close to a fair and square re-interpretation of the fire-and-brimstone rhetoric therein so to speak. Its best that you wait for the next mega political scandal from the CCM and/or government to unfold itself in the media, rather than bore people to death and waste everybody's time and intellectual energy on useless, petty political word play. Besides you already have more than a dozen threads running in here on a myriad of negative, anti-government and specifically anti-Kikwete themes.

It is a relief that there are variety of threads one can choose to follow so do not discourage others on issues they choose. By the way there is ample space for relgiious matters when we come into relating your language mode.

We also need breaks from other issues.
 
And I have just an equal right to make it known that its unacceptable for one single individual to dominate public discourse with a persistently one-sided critical and mostly negative message against a popularly and democratically elected regime in the way that he gets room to do so in here.

Bro, we read you now and if it were that you were denied the right to speak here we should not argue with you now. Everyone here is free to air his views and we respect your reservation on Mwanakijiji but for others we have not yet share your opinion on him.
 
panga msururu.. tatizo unakuja wakati foleni ni kubwa; don't worry though nawaachieni forum kuanzia kesho!!! ...

Wacha we ina maana utetezi wetu huoni.Tunakuhhitaji Mkuu au kama alivyosema Mwiba unatumia sababu ya mwanafunzi wa dini kukimbia mjadala wa Zanzibar ni Nchi?
 
Ukisha sema Zanzibar ni nchi ni lazima ukubali kwamba Tanganyika ni nchi pia na ni vema utonyesha mipaka ya nchi hizo.

Ukiweza onyesha mipaka ya Tanganyika na ile ya Zanzibar kwa usahihi, jaribio la pili liwe ni la k uonyesha mipaka ya Tanzania na mipaka ya Zanzibar kwa usahihi wa 100%.

Ukishindwa kuonyesha mipaka ya Tanzania na Zanzibar jaribu kuonyesha mijibwa au mikondooo ya tanzania na Zanzibar.

Ukishindwa kuonyesha mipaka na mijibwa ni zamu yako kuvaa Babibui na kuyeya kwenye ufinyu wa hewa.

Tanganyika ni ile aliyoisema kiwete na kwa ufafanuzi zaidi ni ile aliyoitolea ufafanuzi kuanzia EPA, barabara zilizoachwa na Mzee Mkapa, Idadi ya wanafunzi wa sekondari, ukuwaji wa uchumi na mambo mengine yote aliyochukua masaa matatu kuyazungumza.
Muungano ni ile DHANA ya kuunganisha Tanganyika na Zanzibar na ni Jina la watu waishio Tanganyika na Zanzibar. Jina hili linatowa kitambulisho kwa watu wa sehemu hizo katika mahusiano na nchi za nje. Tanzania kwa vile ni DHANA si nchi physical haina mipaka Physical bali ni zile sehemu za Tanganyika na Zanzibar kwa ujumla, bali ni dhana tu kwani sehemu hizo zinamilikiwa na wenyewe Tanganyika na Zanzibar.
Tanzania haina mijibwa wala mikondoo kwani dhana haiwezi kuweka vitu physical.

Usipopafahamu naomba uniulize kwa utaratibu ili nijibu kwa utaratibu.
 
Akaendelea kuelezea kuwa hivyo katika mahusiano yetu ya nje na nchi nyingine sisi ni Tanzania. Hiyo ndiyo inatupa utambulisho wetu. Akasema katika "utambulisho wetu wa nje nchi ni Tanzania". Akaendelea kusema "lakini kati yetu sisi wenyewe, nchi ni Zanzibar na ya Muungano" (hapo nikahamaki.


Next question? Serikali ya Tanganyika iko wapi?

Mzee mwanakijiji JK hukumsikiliza vizuri hasa pale ulipohamaki. JK alisema wazi kuwa katika mambo yetu ya ndani, "kuna mambo ya nchi ya Zanzibar na mambo ya nchi ya Tanganyika" Kwa hiyo kairudisha Tanganyika wazi wazi.
Hapa ndipo unakuja umuhimu wa podcasts; invincible fanya hima hotuba hii iwe podcated kwenye website hii ili utata wa nini alitamka JK usiwepo.
 
Anaezungumza hapo ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,sasa kusema kateleza unamzushia aibu ,ikiwa waZanzibari walisema Pinda kateleza ,mkaanza kupiga makelele ,leo mnarudia kitendo kilekile cha kusema Raisi kateleza inamaana WaZanzibari hawakukosea.Nashangaa !

Kikwete amesema maneno mazuri sana ,na kuwafahamisha mambumbu kuwa Zanzibar ni Nchi na si vinginevyo. Nje ya Tanzania ,hilo halina mjdala na WaZanzibari kuwa sio nchi ,heshima kwa Raisi Kikwete ameewaeleza kwa busara na kila anaetaka kufahamu sasa atafahamu na kuweka akili yake uzuri kabisa.
Nasubiri wakereketwa wa JF niwaone kama hawakuvaa mabuibui na kuondoka wakionekana kuwa sio kumbe ndio,maana bado hotuba sijaichambua mstari baada ya mstari neno kwa neno maana na ukina wa maana.

Kumbe ulichotaka ni machogo kuwatambua kuwa ni nchi tukiwa nyumbani? Nchi inayotambuliwa na machogo tu! Kama vile tunavyojuana kuwa kuna waluguru lakini nje ya nchi wote watanzania? Sasa yale yote ya kiti cha Umoja wa Mataifa yalikuwa ya nini?
 
MKJJ is right. Hata mini jana nilisikiliza hotuba yote. I was suprised a bit na baadhi ya statements kuhusu Serikali ya Muungano ya Tanzania, Zanzibar, Tanganyika. Hiyo Tanganyika imenichanganya sana. Huyo Self Scientific umekiuka maadili ya jamvini. Hakuna aliye anti JK an themes zake. Hapa tupo watu wachambuzi wa mambo na serikali tunaifahamu na mifumo yake. Unajua ni vile huoni anayeandika na kwa kuwa wengi tunatumia hidden identities, ungeweza kupata neema ya kuona members ungekuwa amazed. So watch out. Tunachotaka ni kuona tunairejesha Tanzania nchi yetu iliyotukuka. Na si Tanzania uwanja wa wnasiasa feki na siasa za porojo. We want strong leadership heading Tanzania in one boat, siyo kuwa na varied boats of top elites, majority non-Tanzanans or Tanzanians by birth or those with Dual citizenship waliokuja na kuruhusiwa kuja kula huku watanzania wakifa. Please, observe the JF rules.
 
Jamani leteni ile hotuba jamvini. Asubuhi leo niliomba aliyebahatika kupata ecopy apost hapa. Hii itasaidia kuondoa utata hasa kwa wale ambao hawakubahatika kuisikiliza live. Thanks.
 
Give us a break will you? This is akin to the the devil having a go at interpreting the Bible and as such we cannot expect anything close to a fair and square re-interpretation of the fire-and-brimstone rhetoric therein so to speak. Its best that you wait for the next mega political scandal from the CCM and/or government to unfold itself in the media, rather than bore people to death and waste everybody's time and intellectual energy on useless, petty political word play. Besides you already have more than a dozen threads running in here on a myriad of negative, anti-government and specifically anti-Kikwete themes.

What makes you so right to decide what one should write here? Are you forced to read what you don want?
 
Next question? Serikali ya Tanganyika iko wapi?

Tunatakiwa kwa makini tujiulize kama tunataka jina la Tanganyika au madaraka ya kidola ya Tanganyika. hofu ya wengi inawezekanaje kwa tanganyika kurudi bila kuivunja Tanzania, na tatizo siyo maudhui ya kuirudisha Tanganyika bali uwezo wa viongozi waliopo kuhimili mabadiliko makubwa kama hayo. jee tunao viongozi wenye uwezo wa kuirudisha tanganyika bila ya kuivunja Tanzania?
 
And I have just an equal right to make it known that its unacceptable for one single individual to dominate public discourse with a persistently one-sided critical and mostly negative message against a popularly and democratically elected regime in the way that he gets room to do so in here.

Hakuna haja ya kulialia, kama vipi na wewe andika utakacho kisikike utapata washabiki tu na utakuwa famous,hakiharibiki kitu hapa.
 
Tanganyika ni ile aliyoisema kiwete na kwa ufafanuzi zaidi ni ile aliyoitolea ufafanuzi kuanzia EPA, barabara zilizoachwa na Mzee Mkapa, Idadi ya wanafunzi wa sekondari, ukuwaji wa uchumi na mambo mengine yote aliyochukua masaa matatu kuyazungumza.
Muungano ni ile DHANA ya kuunganisha Tanganyika na Zanzibar na ni Jina la watu waishio Tanganyika na Zanzibar. Jina hili linatowa kitambulisho kwa watu wa sehemu hizo katika mahusiano na nchi za nje. Tanzania kwa vile ni DHANA si nchi physical haina mipaka Physical bali ni zile sehemu za Tanganyika na Zanzibar kwa ujumla, bali ni dhana tu kwani sehemu hizo zinamilikiwa na wenyewe Tanganyika na Zanzibar.
Tanzania haina mijibwa wala mikondoo kwani dhana haiwezi kuweka vitu physical.

Usipopafahamu naomba uniulize kwa utaratibu ili nijibu kwa utaratibu.

Jibu lako ni sahihi kwamba Tanzania ni sehemu zile zile za Tanganyika na Zanzibar kwa ujumla. Na hii ndiyo maana halisi ya Muungano.
Haziwezi ungana Tanganyika na Zanzibar na eneo la Tanzania likawa juu ya usawa wa ardhi ya South Africa na Namibia.
 
Jamani leteni ile hotuba jamvini. Asubuhi leo niliomba aliyebahatika kupata ecopy apost hapa. Hii itasaidia kuondoa utata hasa kwa wale ambao hawakubahatika kuisikiliza live. Thanks.

Mpaka saa hizi, Ikulu haijatoa soft copy ya hotuba hiyo, kwa taarifa nilizo nazo, hata Bunge walikuwa hawajapatiwa soft copy hadi leo asubuhi
 
What makes you so right to decide what one should write here? Are you forced to read what you don want?

I am entitled to my opinion in here just as you, and everyone else for that matter, are free to make your views known in this board. What I'm against is narrow-minded, self-righteous individuals like you who take it upon themselves the task of influencing public opinion through persistent one-sided, negative and (as in this particular case) unjustified criticisms. These individuals succeed in promoting their propaganda and thus coerce others to support their views through strength of their position and not so much through any inherent substance in their claims and/or sound persuasion and reasoning.
 
Hakuna haja ya kulialia, kama vipi na wewe andika utakacho kisikike utapata washabiki tu na utakuwa famous,hakiharibiki kitu hapa.

People like you get all worked up when anyone dares challenge what you appear to accept as incontrovertible "divine truths" from your beloved sage. Its your problem though, I can't be bothered!
 
I am entitled to my opinion in here just as you, and everyone else for that matter, are free to make your views known in this board. What I'm against is narrow-minded, self-righteous individuals like you who take it upon themselves the task of influencing public opinion through persistent one-sided, negative and (as in this particular case) unjustified criticisms. These individuals succeed in promoting their propaganda and thus coerce others to support their views through strength of their position and not so much through any inherent substance in their claims and/or sound persuasion and reasoning.

Hakuna aliyekukataza kufanya hivyo wewe PuNjabu Ngabu Nyama Nono. Acha kulia lia hapa. Anzisha na wewe redio yako, kijarida chako, chama chako, au chochote kile chako. Kulia lia kaa demu hakutakusaidia.
 
Nimegundua kitu......baada ya hutuba ya JK jana watu wamekuwa an hasira saa.....mimi nikiwa mmoja wapo.....nafikiria kuachana kabisa na Tanzania.....
 
Back
Top Bottom