Nani kakwambia kuwa Rais Kikwete anang'ang'ania madaraka, Yupo katika awamu ya pili ya uongozi wake kulingana na Katiba ya nchi. Subiri amalize kipindi chake cha uongozi, mwaka 2016 ukiona anaendelea lete hii picha nami nitakuwa miongoni mwa wale watakaokuunga mkono.
Hivi wakuu huu waraka uliotoka wa kumng'oa JK ni wa kweli au mtu majitahidi kuanalyze ili tuamini. Kama waraka huu ni wa kweli basi mimi na family yangu tunauunga mkono ukuombozi huu. Nawahakikishia Jeshi mkifanya hili mtaheshimika na watz mpaka mpaka basi. Kazi njema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.