Kikwete: In Black And White



These successes have led the United States government to grant Tanzania US $698 million under the the Millenium Challenge Account assistance program, the UK government US $500 million for education, and the New York based Africa-America Institute (AAI) to award Tanzania the Africa National Achievement Award in September 2007 in New York.


Hii sasa na yenyewe ni SIFA?
Duh!
Hii si sifa ya kijinga jamani?
 
Akiwa waziri wa fedha alikuwa serious sana kuzuia wizi wa fedha za umma. Na hata hii EPA ingemkuta akiwa waziri wa fedha nafikiri maamuzi yangekuwa tofauti na haya ya kusema rudisheni. Urais nao ni mgumu sana
 
Kuna mahali, historia inajirudia; between 2008 and 2013.

I still trying to solve puzzle...what next?

If Waitara manage to refuse will Mwamunyange do so?..is my second question.
 
Akiwa waziri wa fedha alikuwa serious sana kuzuia wizi wa fedha za umma. Na hata hii EPA ingemkuta akiwa waziri wa fedha nafikiri maamuzi yangekuwa tofauti na haya ya kusema rudisheni. Urais nao ni mgumu sana

Mpitwaga cheki na mazaako kama hukuwahi ugua ugonjwa wa brain maana comment yako inashangaza ulimwengu yaani ulikuwa na upinde ukaua digidigi 5 ulipopewa bunduki hata mjusi huwezi ua?! How
 
Akiwa waziri wa fedha alikuwa serious sana kuzuia wizi wa fedha za umma. Na hata hii EPA ingemkuta akiwa waziri wa fedha nafikiri maamuzi yangekuwa tofauti na haya ya kusema rudisheni. Urais nao ni mgumu sana
Acha uongo mkuu,alipopata urais ndo kaonyesha sura yake halisi.Kwasababu kama ni kweli alikuwa serious kuzuia wizi wa fedha za umma alipokuwa waziri wa fedha,basi alipopata urais ni sawa na kusema alipewa rungu kubwa kuliko rungu lolote ambalo angeweza kulipata katika kupiga vita ufisadi,ama kama matawi alivyosema hapo juu,kwamba ulikuwa na upinde na sasa umepewa bunduki unalalamika?
 
Last edited by a moderator:
Thread hii muhimu!

Ushauri kwenu: Thread kama hizi ziletwe wakati tunatafuta watu wa kuwaweka kwenye nafasi muhimu kama ya Rais na sio baada ya kutumia nguvu, rasilimali, muda na uhamasishaji wa ajabu, halafu baada ya miaka saba tunaulizana, hivi huyu mtu yukoje.
Nini kilichotokea hadi hoja hii inaletwa wakati huu?
Pili: Uongozi sio CV peke yake lakini tukubali hakuna binadamu ambaye amekamilika. Mnayakumbuka mapungufu ya Julius Nyerere?
 
Back
Top Bottom