Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Tunajisikiaje tunapoenda kuomba misaada wakati hatutimizi vema wajibu zetu? Tunaomba hela za walipa kodi wengine wakati sisi wanaostahili kulipa kodi wana syndicate za kukwepa kulipia ushuru na bado hawafanywi lolote? Suluhisho la matatizo yetu halipo Ulaya na Marekani...lipo kwetu wenyewe siku tutakapoamua kutafuta maendeleo