Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,965
- 10,460
HapoKuna taarifa kuwa Rais yuko njiani kuelekea FINLAND
Hii imekuwa siri kubwa maana mgomo wa madaktari umefikia pabaya
Leo TBC wanaweza kutoa habari ya kuwa Rais yupo lakini picha zitatoka maktaba
Usiniulize sosi
kwenye bold panatia shaka.
Habari hii niliiweka jana na mods wakaichakachua. Ziara ya JK nchi za Scandinavia imeahirishwa, till further notice.
Wenyewe waandaaji wamechukia kupewa taarifa ndani ya muda mfupi ilhali maandalizi yameshafanyika