Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,211
- 113,520
Hivi ni kweli kaenda Ufini?
basi kama vipi asirudi ...aende moja kwa moja ..
anakimbia aibu ya mwanae kupata zero kwenye the best school?
Intelligecy is inherited genetically, kama baba ni tabula rasa mtoto nae huwa tabula rasa piaangalieni matokeo ya mwanawe ya form 4 ndio utajua baba yupo vipi
S0298/0025
FMWANAASHA JAKAYA KIKWETE
27
IV
CIV-D HIST-F GEO-D KISW-D ENGL-C LIT ENG-D BIO-C B/MATH-F COMM-F
Kaenda kwa camerun (uk) kuomba hela ya kuwalipa ma DR,na hapo imekula kwetu.
Ma Dr watalipwa ila ushoga utaruhusiwa.
Kwa nini siku hizi ndege zinazobeba marais hazianguki?
mama si alikuwa mwalimu,
alishindwaje kumpe bintiye msingi mzuri.
Kama ningeambiwa nitowe maamuzi!!
Yani huyu asingetakiwa kurudi hapa Nchini na abaki huko huko alikozoea kuwatembelea,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,tuna hasara sana na huyu binadamu.
Nahisi ndo tatizo la kuchagua raisi aliyetokea wizara ya mambo ya nnje!!
kuna taarifa kuwa rais yuko njiani kuelekea finland
hii imekuwa siri kubwa maana mgomo wa madaktari umefikia pabaya
leo tbc wanaweza kutoa habari ya kuwa rais yupo lakini picha zitatoka maktaba
usiniulize sosi
hahahah...aibu ikiisha atarudi?
mama si alikuwa mwalimu,
alishindwaje kumpe bintiye msingi mzuri.
JF ya wapiga ramli.
L
oh kumbe wapiga ramli ndio great thinkers.
Poleni sana wa JF