juzi juzi tu mtoto anayetegemewa kuwa rais wa hili taifa amelalamika kuwa kuna mbinu za kumuua mzazi wake, hivi huyo mzazi angekuwa na nguvu zote hizi malalamiko yangetoka wapi. lowassa hawezi kuwa rais wa JMT bila msaada wa kikwete, halafu 2015 ni mbali mno, kuna mengi tu yanaweza tokea, kila mtu anatumai kufika huko, mwenye uhakika wa kufika huko hakuna.
Z Train, You can say it Again!!