Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
Anza na mtoa mada, inabidi uchambuzi makini ufanyike, sidhani na siamini kama kitu hiki kipo especially kwa Rais anapokuwa anafanya kazi za humu ndani. kama ni appearance ya wabunge na viongozi wengine kwa shughuli ambazo sio za jamii say za biashara kwanini tusiwalipe? appearance yao kwetu ni biashara so WHY NOT PAYING THEM, I REPEAT SIPENDI KUAMINI KUWA WANALIPWA KWENYE SHUGHULI ZA KIJAMII ZAIDI.
Hiyo PR ya Mango Fina ni si ni ya kibiashara????
Kwa Bongo inawezekana kwani hata akina naniii ukiwaita waje kwenye hafla yako waweze kuripoti kwa umma, bila BROWN ENVELOP huwaoni ng'o!!!!!!
Hiyo PR firm YA kina FINA haihusiki na haya ..that ni biashara kama biashara yoyote ile ......kuna PR firms hapa tanzania na biashara yao kubwa ni ku manage events za makampuni makubwa kama TBL,VODA,ZAIN etc......mfano PR FIRM ya ruhinda ndio huwa ina deal na VODA....
kuhusu pesa za rais au top rank ni kweli zinalipwa moja kwa moja ikulu,....na wao huziweka kwenye cosolidated accoant ya serikali....MARA NYINGI PESA HIZI RAIS HUCHAGUA KUZICHUKUA SIKU ANAPOONDOKA MADARAKANI.......KWANI AKIWA MADARAKANI KILA KITU HUWA ANAHUDUMIWA....