Nakupenda sana kwa mafanikio ya kuua ccm. Tangu lini kiongozi uambiwe hawa watu ni wezi badala ya kushughulikiwa sisi tunatafakari cha kuwafanya. Tunataka waharibu nini ndio wachukuliwe hatua? Watu wanakikimbia chama kwa vile si nambari one tena bali ni nambari zero. Ccm ina wanyewe na wenyewe ndio WAUAJI.