CITYBOY
Member
- Nov 1, 2010
- 42
- 0
Inawezekana watembeleaji wa JF ni vijana wadogo au ni watu wa kusikia habari tu na kuzishikilia kwa nguvu bila kuchunguza na kutafakali.Jamaa hapo juu anasema uDr.wa JK ni sawa na uafande wa afande sele.Inaonesha ni jinsi gani hajui mambo.KWANZA afande Sele ni kweli alikua polisi ila aliamua kuresign mwenyewe na kuingia kwenye muziki alikoona inalipa.Ushahidi fuatilia historia yake ya maisha au we google tu utapata mengi kumuhusu.PILI heshma ya uDr.JK alipewa huko uturuki.Alipewa heshma hiyo katika chuo kikuu cha uturuki baada ya Tanzania kusuluhisha mgogoro wa kisiasa nchini kenya na pia kwa ajili ya ushirikiano wa kimataifa mfano kuvikomboa visiwa vya comoro na anjuan,vilevile kushiki kijeshi sehemu tofauti.Kuinua uchumi wa taifa interms of GDP and investment.Tayali nimegundua kua hapa JF kuna watu wana negative attitude tu na JK hasa udini ndo unawasumbua watu hao,na wamekosa fikra mchanganuo na kua fikramgando! I HATE THEM.