Elections 2010 Kikwete hafanyi tena kampeni

QUALITY

JF-Expert Member
Sep 27, 2010
853
115
Ndugu zangu, jana ilikuwa siku yangu ya nne nikiwangalia JK katika mikutano yake ya hadhara "ya kampeni" lakini ukimsikiliza haongei kama mgombea bali Rais. Kwa mfano jana katika ITV alisema "wanaoiba hati punguzo za pembejeo watashughulikiwa kama wahujumu uchumi"!! Hii si kauli ya mgombea bali ya yule aliyeishapewa madaraka.

Akasema, tutajenga barabara ya rami kupitia mbuga za wanyama, Serengeti. Hizi zote ni orders. Mbaya zaidi, wandishi wa habari humnukuu "Serikali imesema...." Siyo JK amesema akipewa ridhaa tena ata....

Je hii ni kusema kuwa Hakuna haja ya kufanya uchaguzi sababu anayetaka kushinda ameishajitangazia ushindi? Je hapo kutakuwa na uchaguzi huru na haki? wale wenye maoni ya mtizamo wa kidini kama Ami wasichangie hapa.

Karibuni kuchangia.
 
Ana kihererehere (sorry to use his own word) ya kurudi mjengoni!!! Na ninawasikitikia Watz kwani akirudi, na kwa kuwa ndiyo miaka yake 5 ya mwisho, basi hatafanya chochote -- akakua anapiga anasa tu. Mwaka 2015 hatakuwapo yeye kujibu maswali iwapo katimiza ahadi zake au la.

Watz -- hebu tujitutumue kidogo asirudi huyu mjengoni ili kutopoteza miaka mingine 5 ya maktaimu katika maendeleo. I know you can!
 
Naamini hiyo ni mikakati hasi zaidi ya uchaguzi ambayo inahusisha mambo yafuatayo:

1. Mgombea kutoa matamko ya kiserikali yanayotekelezeka baada ya uchaguzi.
2. Mgombea kuzungukwa na maofisa wa serikali wasio wanasiasa.
3. Mgombea kusomewa risala hewa za mahitaji muhimu ya wananchi na kuombwa kumalizia au kukabili matatizo yaliyobaki
4. Mgombea kupewa fursa ya kwaza kwenye media za serikali bila kujali wagombea wengine wamefanya/kuongea nini siku hiyo.
5. Mgombea kuingia kwenye ugomzi/ lawama siziso za lazima na taasisi za nje na ndani kwa mambo yanayohitaji utaalamu kuliko utashi wa kisiasa.
6. Mgombea kutumia rasilimali za serikali katika kampeni zake.

Na mambo mengine mengi yafananayo na hayo. Sasa kwa mwananchi wa kawaida si rahisi kutofautisha mgombea wa nanma hii na kiongozi kamili wa nchi, hivyo anaishia kuamini kuwa huyu mgombea ndiye anayestahili kupewa kura (kwani tayari ni raisi wa nchi kwa matendo au muonekano).

Naamini haya ni mambo yanayochochea mabadiliko kwenye katiba yetu.
 
Ana kihererehere (sorry to use his own word) ya kurudi mjengoni!!! Na ninawasikitikia Watz kwani akirudi, na kwa kuwa ndiyo miaka yake 5 ya mwisho, basi hatafanya chochote -- akakua anapiga anasa tu. Mwaka 2015 hatakuwapo yeye kujibu maswali iwapo katimiza ahadi zake au la.

Watz -- hebu tujitutumue kidogo asirudi huyu mjengoni ili kutopoteza miaka mingine 5 ya maktaimu katika maendeleo. I know you can!

Hehehehe. Mbona kurudi mjengoni ni kama kawa tu? :becky:

Wale wanaotoa kila aina ya ahadi, kuanzia kufuta kodi zote, kuongeza mishahara, elimu bure, afya bure, treni ya umeme kutoka Mwz Dar kujengwa mwaka mmoja baada ya kuingia Ikulu, huyo hana kiherere. Anawashwa na kuingia mjengoni. :becky:
 
Hata mi nimemsikia. Anaongea kama rais. Ni kwa vile hana jipya. Wajiandae kwa serikali ya mseto bara pia
 
Naamini hiyo ni mikakati hasi zaidi ya uchaguzi ambayo inahusisha mambo yafuatayo:

1. Mgombea kutoa matamko ya kiserikali yanayotekelezeka baada ya uchaguzi.
2. Mgombea kuzungukwa na maofisa wa serikali wasio wanasiasa.
3. Mgombea kusomewa risala hewa za mahitaji muhimu ya wananchi na kuombwa kumalizia au kukabili matatizo yaliyobaki
4. Mgombea kupewa fursa ya kwaza kwenye media za serikali bila kujali wagombea wengine wamefanya/kuongea nini siku hiyo.
5. Mgombea kuingia kwenye ugomzi/ lawama siziso za lazima na taasisi za nje na ndani kwa mambo yanayohitaji utaalamu kuliko utashi wa kisiasa.
6. Mgombea kutumia rasilimali za serikali katika kampeni zake.

Na mambo mengine mengi yafananayo na hayo. Sasa kwa mwananchi wa kawaida si rahisi kutofautisha mgombea wa nanma hii na kiongozi kamili wa nchi, hivyo anaishia kuamini kuwa huyu mgombea ndiye anayestahili kupewa kura (kwani tayari ni raisi wa nchi kwa matendo au muonekano).

Naamini haya ni mambo yanayochochea mabadiliko kwenye katiba yetu.

Tawile kaka!
 
Naamini hiyo ni mikakati hasi zaidi ya uchaguzi ambayo inahusisha mambo yafuatayo:

1. Mgombea kutoa matamko ya kiserikali yanayotekelezeka baada ya uchaguzi.
2. Mgombea kuzungukwa na maofisa wa serikali wasio wanasiasa.
3. Mgombea kusomewa risala hewa za mahitaji muhimu ya wananchi na kuombwa kumalizia au kukabili matatizo yaliyobaki
4. Mgombea kupewa fursa ya kwaza kwenye media za serikali bila kujali wagombea wengine wamefanya/kuongea nini siku hiyo.
5. Mgombea kuingia kwenye ugomzi/ lawama siziso za lazima na taasisi za nje na ndani kwa mambo yanayohitaji utaalamu kuliko utashi wa kisiasa.
6. Mgombea kutumia rasilimali za serikali katika kampeni zake.

Na mambo mengine mengi yafananayo na hayo. Sasa kwa mwananchi wa kawaida si rahisi kutofautisha mgombea wa nanma hii na kiongozi kamili wa nchi, hivyo anaishia kuamini kuwa huyu mgombea ndiye anayestahili kupewa kura (kwani tayari ni raisi wa nchi kwa matendo au muonekano).

Naamini haya ni mambo yanayochochea mabadiliko kwenye katiba yetu.

Nadhani unasahau kuwa JK bado ni Rais wa nchi, unaweza kudhani ana additional privileges lakini ukweli ni kuwa pia yuko disadvantaged kwa sababu anapimwa kwa issues ambazo tayari zimeshafanyika tofauti na kidogo na asiye madarakani anapimwa kwa vitu ambavyo tunadhani vinaweza kufanyika.Hivyo that is a win win situation.
 
Hehehehe. Mbona kurudi mjengoni ni kama kawa tu? :becky:

Wale wanaotoa kila aina ya ahadi, kuanzia kufuta kodi zote, kuongeza mishahara, elimu bure, afya bure, treni ya umeme kutoka Mwz Dar kujengwa mwaka mmoja baada ya kuingia Ikulu, huyo hana kiherere. Anawashwa na kuingia mjengoni. :becky:

Mwenye kiherehere ni yule anayemtumia Yahay kutishia watu maisha!!!!!
 
Kama ameshasambaza maofisa usalama kuhakikisha ushindi nchi nzima na kuandika nyaraka kwa wakuu wa mikoa, wilaya na uchafu mwingine kwa nini asiwe na uhakika wa kubaki kula vya wavuja jasho!!? Mi naona hapo anatamani siku ziende mambo ya uchaguzi yaishe aaze kutanua kama kawaida yake, leo marekani, kesho jamaika kupembea nk.... Lakini ajue sote twarudi mavumbini na ikifika siku hakuna cha afisa usalam, hakuna cha wakuu wa wilaya na hata akibadilisha hiyo damu ten times per day havitasaidia maana Mungu si mwanadamu. Sihukumu maana mimi si Mungu ila namuasa tu yeye na mafisadi wenzake wasijisahau wakadhani wataishi milele.
Mungu Ibariki Tanzania!
 
Afanye kwa oda kama rais asifanye... yeye kwenye moyo wake anjua fika magogoni atapasikia tu!!!:becky:
 
yaani ukisikia timu beki hazikabi ndo timu ya JK..yaani dakikak zinakwenda mipira inagonga besela kila dakika....hahaaaa hapagawa mzee wa watu yeye alidhani urais ni kuuza sura na kujipaka carolite lotion analo mwaka huu
 
Ndugu zangu, jana ilikuwa siku yangu ya nne nikiwangalia JK katika mikutano yake ya hadhara "ya kampeni" lakini ukimsikiliza haongei kama mgombea bali Rais. Kwa mfano jana katika ITV alisema "wanaoiba hati punguzo za pembejeo watashughulikiwa kama wahujumu uchumi"!! Hii si kauli ya mgombea bali ya yule aliyeishapewa madaraka.

Akasema, tutajenga barabara ya rami kupitia mbuga za wanyama, Serengeti. Hizi zote ni orders. Mbaya zaidi, wandishi wa habari humnukuu "Serikali imesema...." Siyo JK amesema akipewa ridhaa tena ata....

Je hii ni kusema kuwa Hakuna haja ya kufanya uchaguzi sababu anayetaka kushinda ameishajitangazia ushindi? Je hapo kutakuwa na uchaguzi huru na haki? wale wenye maoni ya mtizamo wa kidini kama Ami wasichangie hapa.

Karibuni kuchangia.

Labda kisharidhika na mkakati wa kufanya ujambazi wa kuiba kura ndiyo maana anaongea kama kishachaguliwa.
 
Nashangaa unauliza makofi polisi!Wewe hujuhi kuwa JK ndiye rais?Kama hutaki saga chupa unywe taratibu,na mwaka huu mtalia vilio vya vyura wa kiansi!
 
Kwani mambo ya kusomewa risala katika kampeni yameanza lini? Mbona hata maswali hayaruhusiw? Anasomewa risala kama Rais badala ya mgombea. Kinachouma zaidi ni kuwa anawadharau watz wote. ndiyo maana anaongea kama raisi.
  1. Amwisha fanya mikakati ya kuiba kura kupitia kwa wakurugenzi wa Halmashauri ambao ndio wasimamizi. Ambaye mbunge wa CCM atashindwa katika Halmashauri yake, kazi hana
  2. Anajua watz hawana uwezo wa kuchambua baya na zuri hivyo watampa tu
  3. Amewekeza kaika vitu vinavyoonekana kama darasa n.k Ubora si muhimu na watz wachache wanaweza kuona hilo
  4. Familia nzima (badala ya chama na viongozi wastaafu) wako nyuma yake.
Aibu tupu
 
Ana kihererehere (sorry to use his own word) ya kurudi mjengoni!!! Na ninawasikitikia Watz kwani akirudi, na kwa kuwa ndiyo miaka yake 5 ya mwisho, basi hatafanya chochote -- akakua anapiga anasa tu. Mwaka 2015 hatakuwapo yeye kujibu maswali iwapo katimiza ahadi zake au la.

Watz -- hebu tujitutumue kidogo asirudi huyu mjengoni ili kutopoteza miaka mingine 5 ya maktaimu katika maendeleo. I know you can!
Hili ni muhimu kukumbuka na kuzingatia. Nadhani kama akirudi tena, hali itakuwa mbaya zaidi kwa sababu anajua ndio term yake ya mwisho.
 
chadema.jpg
:becky: :becky: :becky: :becky: :becky: :becky: :becky:
 
Naamini hiyo ni mikakati hasi zaidi ya uchaguzi ambayo inahusisha mambo yafuatayo:

1. Mgombea kutoa matamko ya kiserikali yanayotekelezeka baada ya uchaguzi.
2. Mgombea kuzungukwa na maofisa wa serikali wasio wanasiasa.
3. Mgombea kusomewa risala hewa za mahitaji muhimu ya wananchi na kuombwa kumalizia au kukabili matatizo yaliyobaki
4. Mgombea kupewa fursa ya kwaza kwenye media za serikali bila kujali wagombea wengine wamefanya/kuongea nini siku hiyo.
5. Mgombea kuingia kwenye ugomzi/ lawama siziso za lazima na taasisi za nje na ndani kwa mambo yanayohitaji utaalamu kuliko utashi wa kisiasa.
6. Mgombea kutumia rasilimali za serikali katika kampeni zake.

Na mambo mengine mengi yafananayo na hayo. Sasa kwa mwananchi wa kawaida si rahisi kutofautisha mgombea wa nanma hii na kiongozi kamili wa nchi, hivyo anaishia kuamini kuwa huyu mgombea ndiye anayestahili kupewa kura (kwani tayari ni raisi wa nchi kwa matendo au muonekano).

Naamini haya ni mambo yanayochochea mabadiliko kwenye katiba yetu.


Tukaandikishiane nae MAHAKAMANI KUWA ATAYATIMIZA
 
Back
Top Bottom