Mzee Majuto
Member
- Apr 16, 2012
- 6
- 1
I'm from kenya and would love to see kikwete as the head of a united East Africa, he will probably improve Kenya to the level which Tanzania is economical..mwaonaje?
Nabii hakubaliki nyumbani, JK anaweza sana, ndiyo maana pamoja na fitina, chuki binafsi, wivu, uchu wa madaraka ya baadhi ya watu, hujuma dhidi yake, yote hayo hayamnyimi usingizi na bado tunasonga mbele kwani angekuwa mtu wa papara ungesika mara fungia gazeti fulani, mara kamata yule weka ndani kwa kumkashfu Rais n.k. BIG UP JK.I'm from kenya and would love to see kikwete as the head of a united East Africa, he will probably improve Kenya to the level which Tanzania is economical..mwaonaje?
I'm from kenya and would love to see kikwete as the head of a united East Africa, he will probably improve Kenya to the level which Tanzania is economical..mwaonaje?
I'm from kenya and would love to see kikwete as the head of a united East Africa, he will probably improve Kenya to the level which Tanzania is economical..mwaonaje?
Nabii hakubaliki nyumbani, JK anaweza sana, ndiyo maana pamoja na fitina, chuki binafsi, wivu, uchu wa madaraka ya baadhi ya watu, hujuma dhidi yake, yote hayo hayamnyimi usingizi na bado tunasonga mbele kwani angekuwa mtu wa papara ungesika mara fungia gazeti fulani, mara kamata yule weka ndani kwa kumkashfu Rais n.k. BIG UP JK.
Kenya wanataka mahandsome coz miaka yote marais wao ni mavampire
I'm from kenya and would love to see kikwete as the head of a united East Africa, he will probably improve Kenya to the level which Tanzania is economical..mwaonaje?
I'm from kenya and would love to see kikwete as the head of a united East Africa, he will probably improve Kenya to the level which Tanzania is economical..mwaonaje?
Hivi Kikwete ndiye aliyesuluhisha ugomvi wa Kenya? That is news to me. Na kukutana na Obama baada ya kuilipa kampuni ya Andrew Young dola laki tano kumfanyia lobby ili mkutano huo uwezekane ni jambo la tija? Uncle Sam did not pick Kikwete. Kikwete paid for the opportunity to have a picture taken with Obama, with taxpayers money.Mimi nilisha sema humu mara nyingi tu kwamba JK si mtu wa kawaida, lakini watu hawakunielewa wakanisema mambo chungu nzima. Chukulia mfano wa vices tano ulizo zungumzia humu yaani (fitina, chuki binafsi, wivu, uchu wa madaraka ya baadhi ya watu) angekuwa ni mtu wa ku-entertain vitu kama hivyo nchi hii ingekuwa imekwisha waka MOTO.
Labda niseme a wake up call yakuonyesha kwamba JK is a truely independent minded person ni hili la utehuzi wake kamati kuhusu mambo ya katiba, tuwe wakweli hapa nani angetegemea kwamba angeweza kuwatehua baadhi ya wajumbe ambao walikuwa wanaikosoa Serikali yake openly bila woga? La pili, tuchukulie SAGA ya Richmond na mambo mengine ya ufisadi- JK alikuwa na mamlaka ya kuzuia mambo ya Richmond yasizungumzwe Bungeni, ni kiasi cha kumuita Spika Sita na kumwabia sitaki jambo hili lizungumzwe Bungeni na 'am sure speaker ange comply bila ubishi wowote - lakini JK aku-abuse mamlaka yake aliliachia Bunge lijadili mpaka ikafikia hatua ya rafiki yake wa siku nyingi kubwaga manyanga, na asinge jiuzuru bila ya JK kukubali kujiuzuru kwake - ni Maraisi wangapi duniani wanaweza kuacha sheria ichukuwe mkondo wake bila kuwakingia kifua marafiki zao, ni wachache sana.
Nakubaliana na Kengemumaji kwamba nabii hakubaliki nyumbani, hivi si Raisi wetu huyu huyu aliyeweza kusuruhisha mapigano ya wenyewe kwa wenyewe kule Kenya, mbona Annani alishindwa. Kama nakumbuka vizuri nadhani JK alikuwa Raisi wa kwanza au wa pili kutoka Africa kukaribishwa kwenda Ikulu ya Merikani kuwa na mazungumzo na Obama kuhusu Africa-one may ask, why did Uncle SAM pick JK? jibu unalo. Mataifa makubwa yanamuheshimu na kuheshimu mchango wa JK lakini sisi WaTz tunambeza tu.