ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
Bro hakuna research iliyofanyika kugundua chanzo cha 4leni DSM, Ni wameamka na kuja na mradi huu wa magari ya kasi. Tenda utaisikia kwa SIMON G**_P...Kisha jiulize yy na UDI? . Inawezekana solution sio magari yaendayo kasi bali ni ufinyu wa barabara tulizonazo na nyingi kua na shortcut kibao hivyo kua na msongamano hasa katika Junctions. Wataalam wapo tatizo ni kuchukua mamlaka ya katiba yanatumika sehemu yoyote. Hii ni sawa na Mkunga wa Jadi awe Neurosergion.
Kiongozi, utafiti umefanywa na wataalam wa chuo cha ardhi. Ukitaka details za findings wasiliana nao watakupa.