MduduWashawasha
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 1,653
- 601
ibrah,unajua lunch ya watu kama 80 ni kiasi.hivi mnadhani hao watu wakienda ulaya wataitangaza tZ yetu ?how ?taifa stars wakienda Nigeria na kula lunch na raisi wao wataenda mahali kuitangaza nigeria na sio Tz ?mimi nina wasiwasi na hayo mawazo ambayo watu wanayo.lets wait n see lkn lunch kwa watu 80 na hali kama ya njaa na mafuriko sehemu mbali mbali..it doesnt make sense to me..na subirini akishashinda kwa kishindo mwisho wa mwaka..hiyo miaka mitano inayokuja mtaipata