acha uwongo walikuwa mkuza, kibaha, mazishi ya aliyekuwa dc wa liwale; nyie cdm kila mara kuongopaleo wasaka nyoka tumekaa kwenye foleni kwa lisaa limoja ...hadi muda sio mrefu ..ndio wakuu wanapita hapa wote watatu wanatokea msoga ....msafara wa magari kama 100 ..ukiwa na viongozi wote wakuu wa nchi,inaelezwa wanatokea nyumbani kwa muhashimiwa rais msoga....ambako walikuwa huko toka majira ya saa 5 asubuhi kwa ajili ya mlo wa mchana na kikao kifupi.. Kama inavyooeleweka muhashimiwa huwa anakaa msoga kuanzia ijumaa hadi jumatatu mchana kama akiwa nchini....ni dhahiri leo ameamua kuwaalika wakuu apate nao msosi . Ndio tunajisogeza taratibu toka kwenye foleni ndefu ,nadhani tunaokaa kibaha leo nyumbani ni saa sita usiku kuingia..do...
Leo wasaka nyoka tumekaa kwenye foleni kwa lisaa limoja ...hadi muda sio mrefu ..ndio wakuu wanapita hapa wote watatu wanatokea Msoga ....msafara wa magari kama 100 ..ukiwa na viongozi wote wakuu wa nchi,inaelezwa wanatokea nyumbani kwa muhashimiwa rais Msoga....ambako walikuwa huko toka majira ya saa 5 asubuhi kwa ajili ya mlo wa mchana na kikao kifupi..
Kama inavyooeleweka muhashimiwa huwa anakaa Msoga kuanzia ijumaa hadi jumatatu mchana kama akiwa nchini....ni dhahiri leo ameamua kuwaalika wakuu apate nao msosi .
Ndio tunajisogeza taratibu toka kwenye foleni ndefu ,nadhani tunaokaa kibaha leo nyumbani ni saa sita usiku kuingia..do...
Inashangaza sana kuona member mzoefu na anayeheshimika wa aina yako wewe Phillemoni Mikael kuleta taarifa ya kupotosha kama hii......Habari kama hizi za kufikirika wakati mwingine zinaishushia hadhi JF....Leo wasaka nyoka tumekaa kwenye foleni kwa lisaa limoja ...hadi muda sio mrefu ..ndio wakuu wanapita hapa wote watatu wanatokea Msoga ....msafara wa magari kama 100 ..ukiwa na viongozi wote wakuu wa nchi,inaelezwa wanatokea nyumbani kwa muhashimiwa rais Msoga....ambako walikuwa huko toka majira ya saa 5 asubuhi kwa ajili ya mlo wa mchana na kikao kifupi..
Kama inavyooeleweka muhashimiwa huwa anakaa Msoga kuanzia ijumaa hadi jumatatu mchana kama akiwa nchini....ni dhahiri leo ameamua kuwaalika wakuu apate nao msosi .
Ndio tunajisogeza taratibu toka kwenye foleni ndefu ,nadhani tunaokaa kibaha leo nyumbani ni saa sita usiku kuingia..do...
Yule standard seven leaver mwalimu wa UPE ...darasa la kwanza na la pili...somo la kusoma,kuandika na kuhesabu.....
Anaandaliwa degree ya kununua ya Phd marekani
Inashangaza sana kuona member mzoefu na anayeheshimika wa aina yako wewe Phillemoni Mikael kuleta taarifa ya kupotosha kama hii......Habari kama hizi za kufikirika wakati mwingine zinaishushia hadhi JF....
Viongozi hao(Rais Kikwete, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu) walikwenda Kibaha Picha ya Ndege kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Liwale VICTOR PAUL CHIWILE aliyefariki ghafla mkoani Lindi na si kwamba walikwenda Msoga kwa ajili ya mlo wa mchana na kikao kifupi kama unavyodai....
Too low kwa Phillemon Mikael ninayemfahamu.....Mganga wa JK ....kamuagiza ili mambo ya nchi yatulie awapeleke na wasaidizi wake wakuu..watambike wote....nchi inaendeshwa kwa ndumba Nikki...sasa tambiko la kikwere,sumbawanga na Pemba ....nadhani mipete watakayopewa hapo wakitupungia tu Tunajeuka vipofu.....
Ikishindikana hiloo itabidi APELEke bunge lote watambikiwe na kula yamini ....
Binafsi naona kawaida tu kwa sehemu kama Kibaha ambapo ni karibu sana na Dar es salaam...Ingekuwa ni mbali na Dar es salaam ningesema hakuna ulazima wa wao kwenda....Asante Mkuu. Pamoja na hayo kulikuwa na ulazima wowote wa wao kwenda wote?
Asante Mkuu. Pamoja na hayo kulikuwa na ulazima wowote wa wao kwenda wote?
Mods ondoeni huu uzi. Hauna tija.
Mzee wa Bagamoyo, mzee wa Sumbawanga na mzee wa Pemba ndani ya Msoga! Kaaaazi kwel kwel!