wakifunga milango wapige soga pembeni! Hasikilizwi mtu hapa!wanaweza kufunga milango ili kunusuru aibu mbele ya mkuu wa nchi.
oyaa we upo cm yako haipatikani!hatari kubwa, udom wameshakasirika labda huenda leo wangekuwa huko kuramba viatu.
Ni aibu kwa ccm DOm wanatafuta kila linalowezekana kupata washerekeaji lakini wapi,uwanja unapendezeshwa na watoto wa Shule za MSINGI.Malori yanachukuwa wazee na watoto kutoka vijijini kuwaleta uwanjani.
Hii imekaaje jamani wana JF hasa kwa CHAMA chenye DOLA?
mmh hard to explain but u check it once more....its end of long trip....here's to startnaomba muongozo hiyo avata yako
Hivi malori ni salama kupakia watu? Polisi mbona hawazikamati?
Hivi malori ni salama kupakia watu? Polisi mbona hawazikamati?