Watanzania tunajuta kwa vile tuliyataka wenyewe! Sasa dawa iliyopo ambayo haihitaji polisi kupiga watu risasi ni migomo ya nchi nzima. Wafanyakazi mko wapi? Wanafunzi wa vyuo mko wapi? AMKENI. Ninyi tu mkitaka inawezekana. Fedha za Dowans zitumike kutoa elimu bure! Mwisho wa CCM UMEKARIBIA. Tukio la mauaji Arusha linatufanya sasa kuipenda CHADEMA bure hata kama wengine tulikuwa hatuna ushabiki na chama hicho!