Komamanga
JF-Expert Member
- May 2, 2009
- 221
- 17
Huo mfuko hautakuwa na maana yoyote kwenye maendeleo na badala yake utatumika kuendeleza rushwa.
Pia nimeambiwa ni milioni 16 kwa mwaka ( sina uhakika asilimia 100) ambazo kwenye jimbo haziwezi kufanya mambo ya maana lakini zikipangiwa kazi nyingine kitaifa zinaweza kusaidia.
Itakuwa vizuri JK akikataa kuweka sahihi yake. Pamoja na credit crunch hii wao wanaendelea kuongeza gharama kwenye serikali.
Ni kweli kabisa tupo pamoja. Huu mfuko ni sawa na kubariki rushwa kwa style nyingine na isitoshe wabunge ambao mfuko huu utawakuta kwa maana utakuwa chini yao ndio utawazidisha ukiburi na ubabe na kuwabariki waendeleea kuwepo kwenye ubunge huo milele hata kama ni vilaza.
PLEASE IM BEGGING YOU DONT SIGN THIS, LET THEM BE CREATIVE WITHOUT THIS