Ndio maana inapokaribia wakati wa uchaguzi .....wanakuwa busy kulist what they have done ambavyo wengine huwa hatuvioni, lakini in reality kama kweli unafanya unayoahidi au unawagusa wananchi kiasi kikubwa kwa katatua matatizo yao halisi huhitaji nguvu hii kubwa kwa re-election.