Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Wandugu,
Hivi baada ya kelele zote za wanasiasa, wanazuoni, wanafunzi, wanaharakati na wananchi kwa ujumla, za kutaka ufisadi ukomeshwe ili kuinusuru nchi, ni kitu gani kinamshinda jk kutoa tamko zito?? Anashindwaje kumshughulikia rostam ??
Hivi baada ya kelele zote za wanasiasa, wanazuoni, wanafunzi, wanaharakati na wananchi kwa ujumla, za kutaka ufisadi ukomeshwe ili kuinusuru nchi, ni kitu gani kinamshinda jk kutoa tamko zito?? Anashindwaje kumshughulikia rostam ??