Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
Nashanga kweli, tatizo liko wazi kwa nini mkulu asichukue muda kulitafutia ufumbuzi na kumalizana na haya majinamizi ya kuanguka anguka hovyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee Mwanakijiji pole na kazi za shamba, uliahidi kuwa utakuja kuwasimulia wajukuu zako hadithi kabla hawajalala, vipi muda bado? nakukumbusha hapa chini ulivyokuwa umewaahidi
20th September 2008, 07:39 PM
Mzee Mwanakijiji
Mzee Mwanakijiji is extremely upset and tired!
JF Premium Member
Join Date: Fri Mar 2006
Location: Kijijini
Posts: 16,271
Thanks: 11,291
Thanked 15,392 Times in 5,141 Posts
Rep Power: 39
Re: Kikwete safarini Marekani tena
Atakuwa hapa kwa wiki mbili, pamoja na kufanya yaliyosemwa ataungana na Mama, halafu na yeye mwenyewe atakuwa kwa ajili ya Medical check up. Ana tatizo ambalo nilishadokeza siku nyingi zilizopita na sasa wakati umefika wa kulitilia mkazo, and NO siyo mdudu a.k.a ngoma a.ka umeme kama wengi walivyoaminishwa.
That exclusive from KLHN: Hadi hawa jamaa watakapojua kuwa wa wazi kuhusu afya ya Rais na kwa kadiri wanavyochelewa kuliambia Taifa sisi wengine tutajitolea kufanya hivyo.
__________________
while "they" are talking about it...Project-X:2010 is doing something about it; change is coming; be part of it!
I'm now twittering - If I know it...u'll know it too
Mzee Mwanakijiji pole na kazi za shamba, uliahidi kuwa utakuja kuwasimulia wajukuu zako hadithi kabla hawajalala, vipi muda bado? nakukumbusha hapa chini ulivyokuwa umewaahidi
20th September 2008, 07:39 PM
Mzee Mwanakijiji
Mzee Mwanakijiji is extremely upset and tired!
JF Premium Member
Join Date: Fri Mar 2006
Location: Kijijini
Posts: 16,271
Thanks: 11,291
Thanked 15,392 Times in 5,141 Posts
Rep Power: 39
Re: Kikwete safarini Marekani tena
Atakuwa hapa kwa wiki mbili, pamoja na kufanya yaliyosemwa ataungana na Mama, halafu na yeye mwenyewe atakuwa kwa ajili ya Medical check up. Ana tatizo ambalo nilishadokeza siku nyingi zilizopita na sasa wakati umefika wa kulitilia mkazo, and NO siyo mdudu a.k.a ngoma a.ka umeme kama wengi walivyoaminishwa.
That exclusive from KLHN: Hadi hawa jamaa watakapojua kuwa wa wazi kuhusu afya ya Rais na kwa kadiri wanavyochelewa kuliambia Taifa sisi wengine tutajitolea kufanya hivyo.
__________________
while "they" are talking about it...Project-X:2010 is doing something about it; change is coming; be part of it!
I'm now twittering - If I know it...u'll know it too
Apate na matibabu piaMheshimiwa anatakiwa apumzike......
the guy is tired kwa kuzurura tuuuu.
Wauliza Mwanza kuna nini? mshaurini kuwa kila anapoenda kwa watani zake Mwanza ni lazima atoe nondo zake zote za ukwereni aziache Dar, kwenda nazo ni hatari kwani zikiumana na za kisukuma reaction yake ndio hiyo!
Kumradhi wakuu, hivi alivyoanguka pale Jangwani kuna mtu anaweza kunikumbusha ilikuwa tarehe gani? Mwaka si tatizo, tarehe na mwezi pls
Nadhani wapambe wake JK wangekuwa wanatumia busara zaidi kusisitiza kuwa Mheshimiwa apimwe afya yake .
Thanks mkuu Nemesis,mkuu sina jibu ila ninamchango unaoweza kusaidia ktk kutafuta jibu. Kikwete alipatwa na mkasa huo ktk mkutano wa mwisho wa kampeni (funga kampeni). Uchaguzi ulifanyika December 14, 2005. Mwanzo ulipangwa kufanyika tarehe 30 October lakini uliahirishwa. Hivyo Kikwete alipatwa na matatizo hayo Mwezi December 2005.
Kazi ni kubwa .. Ni jana tu kakiri jinsi alivyo mbishi anaposhauriwa na watu.
Isee watanzania we need to pray for our president awe na afya njema.
Mkuu mwanakijiji heshima mbele.
Tafadhali tunakuomba uje jamvini hii maneno kuhusu afya ya mkuu wa kaya inatutatiza wajukuu zako.
Binafsi nimekuwa na mashaka makubwa na afya ya mkuu wa kaya mara ya mwanzo wapinzani wake wa kisiasa walikuwa wanavumisha ana ngoma lakini wakati wa ile kampeni aliyoizindua ya kupima ukimwi pale mnazi mmoja uvumi ulikwisha.