Ni kweli picha hizi zilikuwa zinatafutwa sana, kwanza tumpongeze aliyetuweka humu Jamvini na huyo Frederick Katulanda kwani wakati hilo 'Timbwili timbwili la JK na kuishiwa nguvu' Watu wa usalama walipita na kuzima Kamera zote katika uwanja wa CCM Kirumba aliwezaje kupata tumuachie yeye, lakini angalau nilimsii tuweke humu kwa ajili ya kutoa taswira kwa mjadala huu na bahati Taarifa ya Daktari pia imetoka, sasa kazi kwenu kuchangia.
Say what?
Watu wa usalama walizuia picha na kuzima kamera?