Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Mara baada ya kukiua kile chama kilichokua maarufu sana kule visiwani Zanzibar, CUF, sasa Mhe Kikwete kaonelea hata Bara CCM hakifi peke yake hivihivi. NCCR Mageuzi kwishney!!!
Chama hiki cha NCCR Mageuzi sasa kimerudi RASMI nyumbani kwa baba yake CCM kwenda kugawana mabua dam dam.
Sasa tunasubiri kuona udhati wa kile alichokua akikiping David Kafulila je ataendelea kushiriki na Mhe Mbatia kula vya UKIBARAKA KWA CCM au sasa ataachia ngazi kulinda heshima na msimamo wake hapo nyuma kidogo?
Chama hiki cha NCCR Mageuzi sasa kimerudi RASMI nyumbani kwa baba yake CCM kwenda kugawana mabua dam dam.
Sasa tunasubiri kuona udhati wa kile alichokua akikiping David Kafulila je ataendelea kushiriki na Mhe Mbatia kula vya UKIBARAKA KWA CCM au sasa ataachia ngazi kulinda heshima na msimamo wake hapo nyuma kidogo?
What? Mbatia?....kweli nimeamini Mbatia na NCCR yake ni kibaraka wa ccm
Na sasa naamini CDM ndicho chama cha upinzani wa kweli Tanzania. Kazi ipo!