Kwa mujibu wa taarifa ya habari iliyorushwa na kituo cha Star TV na Itv jioni ya leo, wamemwonyesha Rais Kikwete akiwataka wazee wa CCM waliokuwa madarakani wakati wao, wasiwe wanayumbisha utawala wake.
Amesema kuwa wamekuwa wakikosoa kila anachofanya , wakati hata wao walipokuwa madarakani walishindwa kufanya hayo wanayotaka yafanyike leo na utawala wake.
Akasema kuwa wamekuwa wakikosoa kila serikali yake inachofanya na kuwataka wajifunze kutoka kwa Kawawa ambaye hajakosoa.
Aliyasema hayo akiwa Ikulu leo wakati wa sherehe za Kawawa kutimiza miaka 84, pamoja na uzinduzi wa kitabu cha maisha ya Kawawa.
My take,
Amechoshwa na kelele za wakina Butiku, Kitine et all ambao siku za karibuni wamekuwa wakosoaji wakubwa wa serikali yake?
Kuna mpasuko ndani ya CCM ambao umeanza kujitokeza wazi kwa kauli hii?
Mbona mtandao ulikuwa unakosoa utawala wa Mkapa na haswa Sumaye , mbona waliona kuwa ni sawa?
Amesema kuwa wamekuwa wakikosoa kila anachofanya , wakati hata wao walipokuwa madarakani walishindwa kufanya hayo wanayotaka yafanyike leo na utawala wake.
Akasema kuwa wamekuwa wakikosoa kila serikali yake inachofanya na kuwataka wajifunze kutoka kwa Kawawa ambaye hajakosoa.
Aliyasema hayo akiwa Ikulu leo wakati wa sherehe za Kawawa kutimiza miaka 84, pamoja na uzinduzi wa kitabu cha maisha ya Kawawa.
My take,
Amechoshwa na kelele za wakina Butiku, Kitine et all ambao siku za karibuni wamekuwa wakosoaji wakubwa wa serikali yake?
Kuna mpasuko ndani ya CCM ambao umeanza kujitokeza wazi kwa kauli hii?
Mbona mtandao ulikuwa unakosoa utawala wa Mkapa na haswa Sumaye , mbona waliona kuwa ni sawa?