Kakende
JF-Expert Member
- Aug 18, 2012
- 2,741
- 1,231
Pamoja kwamba watanzania na polisi kwa ujumla wamepata msiba, kifo cha RPC lakini Kikwete ameondoka kwenda Muscat hata kabla mwili haujazikwa. Kifo ni jambo la kawaida lakini kifo cha RPC kilikuwa si cha kawaida, si jambo la busara kuacha nchi ikiwa na hali kama hii ya kifo pia na machafuko ya kidini.