Wameshindwa kuukata mbuyu wameanza kuchuma majani yake.
Sijawahi kuona kiongozi wa JUU wa CCM aliyewahi kutimuliwa.
Nimeipenda hii red mno!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Pochi ya EL mngemtimua ndipo mngekiona cha moto kutoka kwa hiyo mitoto yenu mnayoirithisha sera yenu kuu ya UFISADI. Time will tell Unabii umeishashuka MENE MENE TEKELI NA PERESI CCM!!
Kuna mtu anandika kwenye gazeti la RAIA MWEMA. Anajionysha kujua kujivua gamba kuliko hatan waasisi wa falsafa mfu hii. Nashangaa hajaandika humu jamvini baada ya gamba kuamishiwa CC. Yetu macho lakini nafikiri JK kashtuka maana NEC is more public kuliko CC iliyojaa wateuliwa wake. Inanipa shida kama kweli KJ anafanya mambo kwa dhati ya moyo wake maana yeye ndiye gamba kuu kuliko yote.Nilishasema hawa wote ni wezi, wanafki, waongo ndo maana wanaogopana!
Baada ya Wassira kwenda Arusha alituambia mgogoro umekwisha mbona leo tena anawashambulia au alikuwa anafunika moto kwa blanketi.Imeandikwa na Neville Meena, Dodoma
Maelezo hayo yalisababisha Benno kusimama kutoa utetezi ambao hata hivyo, haukusikilizwa na hapo wajumbe wawili, Mawaziri, William Lukuvi na Steven Wassira kila mmoja kwa wakati wake, aliushambulia umoja huo.
SOURCE: Mwananchi
Thank you for a real, relevant and live example for being inconsistent in decision making.CCM inawawia vigumu kufanya maamuzi kutokana na kutokuwa consistent katika kutoa maamuzi yao; hawafuati kanuni na taratibu walizojiwekea ama sivyo wasingekuwa wanapata haya matatizo.
CCM huangalia sura za wahusika na sio makosa yaliyotendeka na hicho ndicho kikwazo kikubwa cha kufanya maamuzi ya busara. Double standard application to decision making Mkweree ameipeleka mpaka serikalini sasa na ndio maana utaona mtu kama Mattaka anashitakiwa mahakamani kwa kutumia ofisi vibaya lakini Jairo aliefanya makosa makubwa zaidi hapelekwi kizimbani kwa makosa aliyoyafanya kwa sababu tu ya kulindwa !!
Mwalimu Nyerere alijitahidi sana kuwafundisha hawa nunda mpaka kwa mifano hai lakini hawakumuelewa; alipotoa ule mfano wa mtoa rushwa na mpokea rushwa kuwa wote walikuwa ni 'MAJI YA NYANJA" maana yake ilikuwa hukumu hutolewa kutokana na kosa [ kanuni na taratibu] na sio sura ya mkosaji!!
Wewe naona nia yako ni kusukuma watu waanze kuutukana Muungano.Malimu Seif Sharif Hamad
Kama wanayo sababu kwanini wasifanye hivyo.Wewe naona nia yako ni kusukuma watu waanze kuutukana Muungano.
Nyie kina easy fit ndio muwe na mtoa taarifa? unazua mambo weye.
Last edited by Paw; Today at 10:52; REASON: Typo
Mirembe panakufaa sana wewe.avoid the ignorant." (Qur'an 7:199)