Kikwete avunja record 14 !!!!!

Mpendanchi-2

JF-Expert Member
Apr 4, 2009
304
37
Wandugu zangu nimetumiwa maswali yafuatayo na jamaa yangu mmoja ili nimsaidie lakini binafsi yamenishinda, nadhani atakuwa kapewa asignment katika hii kozi fupi ya maandalizi ya uchaguzi. Plz mchango wenu utanisaidia kumjibu.

1. Ni rais gani duniani anayeamini kwamba kukaa madarakani miaka mitano ni kujifunza ili baadaye ukipewa fursa ya miaka mingine tena aweze kuwa mfanisi? Dr.Jakaya Mrisho Kikwete

2.Rais wa kwanza Duniani kuwa na rekodi ya kuanguka anguka mbele ya kadamnasi ni..... Dr.Jakaya Mrisho Kikwete

3.Ni Rais gani duniani anaye amini kwamba suala la urais ni la kifamilia zaidi na siyo la kitaifa? Dr.Jakaya Mrisho Kikwete

4.Rais wa kwanza duniani kutamka hadharani kwamba hajui umaskini wa watu
wake unatokana na nini, ni................
Dr.Jakaya Mrisho Kikwete
5. Rais wa kwanza anaechukulia wingi wa magari kama kipimo cha maisha
bora! ni............. Dr.Jakaya Mrisho Kikwete

6. Rais wa kwanza duniani anaepata ulinzi wa nguvu za Giza.(mnajimu) ni.......... Dr.Jakaya Mrisho Kikwete

7. Rais wa kwanza Duniani aliyesema watoto wadogo wa shule kupata mimba ni
kiherehere chao? ........... Dr.Jakaya Mrisho Kikwete

8. Rais wa kwanza anayeogopa kuwaburuza mahakamani mafisadi ila ana uwezo mkubwa wa kumuwekea fitina mwizi wa mke wa mtu? ......... Dr.Jakaya Mrisho Kikwete

9.Rais wa kwanza duniani aliyetumia 60% ya mabango yote ya biashara nchini
kwake kujinadi wakati wa kampeni ni.......... Dr.Jakaya Mrisho Kikwete

10. Ni Rais gani Duniani ambaye kwa mtazamo wake anahisi kafanya kazi kubwa nchini kwake kiasi cha kujisikia fahari kubwa kumuandaa mwanaye ili naye siku moja afuate nyayo zake............... Dr.Jakaya Mrisho Kikwete

11. Rais wa kwanza Africa kudanganywa vibaya mno na wasaidizi wake ni........ Dr.Jakaya Mrisho Kikwete

12. Rais wa kwanza kusini mwa jangwa la sahara kufanya safari nyingi za nje ya nchi ndani ya mwaka mmoja tangu aingie madarakaini ni............. Dr.Jakaya Mrisho Kikwete.

13. Ni rais gani duniani ambaye akiwa madarakani ndani ya miaka mitatu kaoa mabint wawili wenye umri sawa na wanawe, lakini hapendi ifahamike japo dini yake ina mruhusu? Dr.Jakaya Mrisho Kikwete

14. Ni rahisi gani Duniani ambaye anaamini katika utawala wa sheria na amesaini sheria ya uchaguzi wa Taifa lake, kwa bahati mbaya amekuwa wa kwanza kuzikiuka? Dr.Jakaya Mrisho Kikwete


Have a good day!!
 
14. Ni rahisi gani Duniani ambaye anaamini katika utawala wa sheria na amesaini sheria ya uchaguzi wa Taifa lake, kwa bahati mbaya amekuwa wa kwanza kuzikiuka? Dr.Jakaya Mrisho Kikwete[/SIZE][/FONT]

Kumbe bahati mbaya??! kama ni bahati mbaya shida ni nini? Maana bahati mbaya huwa zinawakuta wengi. Lakini nafikiri umesahau la kugomewa nyimbo za taifa katika mechi za kimataifa, wakati yeye akiwa ni mgeni rasmi. Sijalisikia hili limetokea mahali pengine duniani mbele ya Rais wa nchi. Hapa najiuliza hao idara ya usalama wa taifa huko hawahusiki kuhakiki hayo mambo hasa ukizingatia kwamba ni tatizo ambalo lilishatokea huko nyuma?
 
we mkali ndugu yangu huyo jamaa hafai na mungu amlaani na sio siri ana nuksi na mungu hawezi kutubariki kama tuna rais mdhambi na mnafiki kama huyo. haya jamani wakati ndio huu wa kumwaga haramia huyo.
 
yani imetulia kweli hyo utaona wana ccm watakavyoipangua kwa hoja hafifu
 
Mh,kwa hali hii inabidi asipate kura hata moja. nadhani some nuts are missing in his head. what a shame to have a president like this one.....
 
Namchukia sana huyu baba! Muongo muongo na usanii! Heri Salma angegombea yeye
 
Tanzania kwa sasa tumeendelea bwana kwa demokrasia na hasa kipindi hiki cha Kikwete. Enzi za Nyerere huyo mchangiaji mada mkuu angekuwa ama anaozea jela, amekimbia nchi au amepotea!!!!!!!!!!!!!! Kwa wale Senior Citizen wenzangu mnakumbuka wakati ule watanzania walipoamua kumpachika jina Nyerere kama "Mchonga Meno" kuonyesha hasira yao kwa ajili ya kuchukia tabia yake ya kutotaka kusikiliza maoni ya raia alivyojibu? Alisema kwamba mmeniita majina mengi kama vile "Haambiliki" lakini hili jina la "Mchonga Meno" litaondoka na mtu !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Lakini kwa sasa usishangae mchangiaji huyo akiomba kwenda Ikulu kuongea na rais basi akapewa nafasi ya kuhudumiwa glasi ya Juice na Kikwete mwenyewe!!!!!!!!!!! Kikwete kama marais wengine kuanzia Nyerere mpaka Kikwete wana mapungufu yao ya msingi yaliyosababisha nchi yetu kuwa masikini kiasi hiki. Msingi wa udhaifu wa marais wa Tanzania ni msingi mbovu wa kiuchumi ulioachwa na Nyerere ( Samahani kwa wale wanaomuabudu Nyerere kwa manufaa yao yoyote yale na wanaodhani watatupangia marais wajao kwa kutumia jina lake) na ukishakuwa na msingi mbovu wa uchumi basi misingi mingine yote ya jamii itaparaganyika. Lakini kuna hatua za msingi za kiuchumi zimepigwa na viongozi wetu tangu wakati ule Nyerere alipoamua kuachia ngazi mbapo Watanzania tulishindwa kabisa kiuchumi hadi tukalazimika kula unga wa msaada wa njano kutoka Marekani tena kwa foleni kwenye maduka machache yaliyopata kibali kutoka National Milling Corporation (ambao ulitengenezwa kule marekani kwa ajili ya Farasi!!!!!!!!!!!!) kutokana na Nyerere kuwabana watanzania kujasiria mali kwenye kilimo na maeneo mengine ya biashara kwa kutaka kuleta siasa za utopia (ujamaa) na wao serikali kushindwa kuhudumia watu wake kwa chakula baada ya kuwabana raia ingawa tuna ardhi kubwa ya kutosha!!!!!!!! Vijana mnatakiwa muelewe tumetoka wapi kwani dunia yenu mnayoijua ni hii ya leo ya face book, linkedin, twitter na skype (enzi zetu ukimiliki kideo unaishia lupango) ni tofauti sana na ile yetu enzi hizo kabla hamjajazwa jazba na watu ambao wanajua tulikotokea lakini kwa manufaa yao wenyewe wanaamua kuwashambulia viongozi wetu bila sababu za msingi kutokana na uhuru wa sasa wa kuongea utakavyo kwa sababu wanajua kwamba kutokana na umri wenu hamjui yale yaliyojiri enzi hizo hivyo wanacheza na akili yenu ya sasa tu kumanipulate mtaji wao wa kisiasa wa baadaye!!!! Sina maana tusiwahoji viongozi wetu pale wanapokwenda mrama lakini tufanye hivyo si kwa kejeli kama watanzania walivyolazimika kufanya hivyo kama nilivyoeleza hapo juu wakati wa udikteta bali tufanye hivyo tukijua kwamba viongozi wetu watatusikiliza kwa mambo ya msingi tunayowahoji (kama ilivyotokea kwenye issue ya posho za wabunge kama zilivyowakilishwa na Zitto kwa jamii) badala ya kupoteza mda wetu kutoa kejeli ambazo hazina kichwa wala miguu na hazitatusaidia kurekebisha mambo mengi ya msingi tunayotaka viongozi wetu wayashughulikie kwa manufaa ya vizazi vyetu vijavyo.
 
Back
Top Bottom