Kikwete avunja monopoly

ukibishana na usiyejua utamaliza maneno na kuchosha ubongo, au labda ametumwa ili aweze pata mwelekeo kwa kutaka kuleta hoja ya ka-udini dini. nawachukia mno watu wenye hoja za namna hiyo, kwa kuwa kwa hakika ndio sumu yetu hawa. msimalize nguvu kumweleza maana baada ya hapo anaweza kuja na hoja mbovu zaidi. kalaga baho na ubozi wako
 
Sidhani km ni hivyo?Bado more than 80% ya shule zinazotoa matokeo mazuri ni za kanisa. Traininig centres kwa akina dada wasioweza kabiliana na elimu zitolewazo ktk shule rasmi nyingi zipo ktk kila kanisa na vituo vya masista.Pia wamiliki wa shule walioshindwa endela na upadri ambao bado wanaishi ktk misimamo ya kikatoliki bado wana shule nyingi.Shule nyingine za kata ni vijitawi vya katoliki km joing venture hasa pale wazawa walishindwa changisha vya kutosha kuachia kanisa.Hizo shule za kata si zote zimejengwa kwa asilimia 100% na serikali.
So bado kuna maeneo mengi ya kuweza kuchukua share kubwa ktk umiliki wa shule na taasisi za elimu .Achilia mbali shule zitakazo kufa kwa kukosa wanafunzi, uangalizi , walimu etc na kugeuzwa kuwa kitu kingine.Kuna shule zimejengwa mahali mabinti hawakuwahi fika kidato cha 3 na darasa baada ya term ya kwanza from1 hawajawahi baki 7, na wavulana wamerithishwa majukumu ya familia au kusoma sehemu nyingine.Hizi zote gharama ya kuzifanya zisife ni kubwa kuliko kuzifuta.Shule za misaada nyingi zemejitahidi hata wahamisha wanafunzi na kuwasomesha ktk shule zilizopo mjini angalu watoto wasome ila bado na watu wao wanawatumia hata ndumba ili wapate vichaa na kurudishwa nyumbani kw amukumu ya kuolewa au kufanya kazi za jadi.Serikali haitoweza haya yote.
 
Rib. hana kipya mwache aambiwe ndo aje aandike hukubila kuwa na takwimu za msingi na ndo tatizo kubwa la hawa jamaa. Elimu sijui wanaitumiaje kama wanashindwa kuelewa hivi. Yaani hivi ndo umpe nchi ana haribu kama jamaa yake huyu.
 
Kama kuna kitu kinachofanya nizidi kumpenda na kumthamini Kikwete na nna uhakika ni hicho-hicho kinamfanya azidi kuchukiwa na wengine ni pale alipoweza kuutafuna mfupa uliomshinda fisi.

Jakaya Mrisho Kikwete ameweza kuvunja monopoly ya mashule iliyokuwa ikihodhiwa na Makanisa. Shule nyingi sana za Secondary zilikuwa za Kanisa au ziko chini ya Kanisa kabla ya Kikwete kuchukuwa madaraka, baada ya miaka minne tu tukaona shule nyingi zaidi za Sekondari ni za Serikali kwa mara ya kwanza toka nchi hii iwepo na kabla ya kuwepo.

Nnampa kila pongezi na hongera kwa hilo na nna uhakika wengi wanamchukia kwa hilo, ni ukweli usiopingika idadi ya 83/17 itashuka kwa kiwango kikubwa tu, baada ya miaka 3 kuanzia sasa idadi hiyo itakuwa 60/40 wanaopenda wapende wasiopenda wasipende.

Ni ukweli usiopingika hata vyuo vikuu kwa sasa tunaona mabadiliko. Hongera Jakaya Mrisho Kikwete.

Pumbaaf!
 
Kikwete hana legacy yoyote muhimu zaidi ya uraisi na utawala dhaifu kuliko maraisi wote na mkumbatia ufisadi. Miaka mitatu ni mingi sana kwa Watanzania hadi siku huyu Msanii Mkubwa na Mswahili apotee zake.
 
Back
Top Bottom