Kikwete avunja monopoly

Yote tisa ila kinachonifurahisha kwa makanisa ni kuwa sio wabaguzi,nakumbuka mdogo wangu akisoma kagera kule hekima sec,yani hata waislam waliruhusiwa hali mradi utimize masharti ya kujiunga,ila kanisani ni lazma na sala zote,huwezi amini mabinti wa kiislam walivaa mpaka rozali ili mladi wapate elimu bora,pia loyola high school wote wameruhusiwa ila kila ijumaa kila mtu anaenda kwenye ibada ya dini yake isipokuwa siku maalum ambapo wote lazma waingie ktk misa takatifu na wote wakristo kwa waislam wanaingia,...tusikimbilie kulaumu,ukipenda boga usichukie mti wake!
 
Naona hujui kuwa Forodhani ilikuwa St. Joseph kabla ya kuwa Forodhani.
Nakushukuru Ribo kwa kutambua kuwa kumbe Forodhani ilikuwa St. Joseph hapo kabla!. Kwa kukusaidia tuu, Pugu ilikuwa St. Francis, Minaki ilikuwa St. Andrew!. Tambaza ilikuwa HH Aga Khan Boys na Zanaki ilikuwa HH Aga Khan Girls, Kisutu ilikuwa DA Girls, sijui Azania na Jangwani zilikuwa nini?.

Kwenye mambo ya elimu nasisitiza wenzetu mshukuruni sana Mwalimu alijitahidi sana kuondoa matabaka vinginevyo sijui wenzetu mngekuwa wapi?.
 
Nchi yetu itaendelea kupiga hatua za kinyonga katika nyanja ya maendeleo(kielimu, uchumi, utamaduni, kisayansi n.k) kwasababu ya kuwa na ushabiki usio angalia ukweli kama mtoa mada alivyofanya!
Haiingii akilini kwa mtu kusifia kitu ili kuwaumiza wengine, hivi hatuoni mambo yanavyokwenda ndivyosivyo? au tunataka nchi ifikie mahali pa kukosa uelekeo kabisa kama Greece?
Tuwe na uzalendo Jamani tuone huruma vizazi vyetu vijavyo vitajivunia nini kilichofanywa na sisi!
Ninaumia sana ninapoona ushabiki unaoliangamiza taifa Kama huu unaendelea kujitokeza! TuBadIliKe.
 
Is it true au ni viceversa? Mi nimeona zile shule zilizomilikiwa Na Serikali, zimenyanganywa Na wenye nazo.... Ila yalianza kitambo enzi za Mkapa.
 
Unamaana kwamba pesa zakujenga izi shule zimetoka mfukoni mwake?na shule unazozisema ni izi za kata ambazo tumezijenga kwa michango yetu wenyewe!

Una maana kabla ya kuja Kikwete mlikuwa hamna fedha mifukoni mwenu? au?
 
Kama kuna kitu kinachofanya nizidi kumpenda na kumthamini Kikwete na nna uhakika ni hicho-hicho kinamfanya azidi kuchukiwa na wengine ni pale alipoweza kuutafuna mfupa uliomshinda fisi.

Jakaya Mrisho Kikwete ameweza kuvunja monopoly ya mashule iliyokuwa ikihodhiwa na Makanisa. Shule nyingi sana za Secondary zilikuwa za Kanisa au ziko chini ya Kanisa kabla ya Kikwete kuchukuwa madaraka, baada ya miaka minne tu tukaona shule nyingi zaidi za Sekondari ni za Serikali kwa mara ya kwanza toka nchi hii iwepo na kabla ya kuwepo.

Nnampa kila pongezi na hongera kwa hilo na nna uhakika wengi wanamchukia kwa hilo, ni ukweli usiopingika idadi ya 83/17 itashuka kwa kiwango kikubwa tu, baada ya miaka 3 kuanzia sasa idadi hiyo itakuwa 60/40 wanaopenda wapende wasiopenda wasipende.

Ni ukweli usiopingika hata vyuo vikuu kwa sasa tunaona mabadiliko. Hongera Jakaya Mrisho Kikwete.

Samahan wewe yaelekea unakaa mjini hlo ni moja,pili haujui kiundan changamoto zinazokabili hzo shule za Kikwete unazosifia "Kabla ya kuandika kusanya data ndio uandike sio uandike kupotosha"
Mfano kuna wilaya wakati nilienda wilaya moja kufanya utafiti wa hzo shule ya J.K nikakuta shule kwa zaid ya miaka 3 ina waalimu watatu wa masomo ya sanaa(Arts) sayansi na hesabu watoto hawajawah kufundishwa unategemea hao kidato cha nne watapata nin?huo ulikuwa ni mfano vp hzo shule hazina waalimu kabisa hasa wa masomo ya sayansi.
Uhaba wa nyumba za waalimu nalo ni tatizo sana,waalimu wanatembea zaid ya km 10 kwa siku kwenda kufundisha kutoka eneo analokaa ambalo angalau kapata kibanda chenye hadhi kidogo unategemea akifika shulen kachoka vipindi vingap ataamua aache,au anafika hapo shulen saa nne vipindi vya asubuh hajafundisha.Hapo ubora wa hzo shule uko wap?Maeneo mengine madarasa yamegeuka ndio nyumba za waalimu jem ungekuwa wewe ungefurah na kujituma?
Miundo mbinu ya kufundishia ndio hamna kabisa,kuna uhaba mkubwa sana wa vitabu vya wanafunz kutumia pia vya waalimu sasa watoto watapataje elimu nzur kwa hali hyo,mtoto anategemea notisi za mwalimu tu hapati sehemu za rejea(reference) zaid angalau apate zaidi mwanga.
Katika ulimwengu huu sayansi bila vitendo ni sawa na kupaka rangi upepo,shule hzo hazina maabara kabisa na zilizonazo ni zile za zaman au zilizopo mjini,mtoto anamaliza form four haijui testtube,microscope n.k,sasa hapa tunatengeneza kizazi kisichokuwa na wanasayansi na kwa mantiki hyo tusahau mapinduz ya viwanda.Kwa taarifa yako watan wetu Kenya ukiipata sera yao ya elimu na utekelezaji hasa ktk sayansi hatuji wakuta.
Mtoa mada naomba ujenge hoja katika hizo hoja zangu labda nitakuelewa.Ila ukwel utabak shule za madhehebu ya dini,binafsi zitaendelea kufanya vizur kwasababu vitu vyote tajwa hapo vinapatikana katika shule hizo hata kama ipo kijijini sana "nawakilisha"
 
Kikwete anapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa naye anachekelea. Jamani acheni kumvisha mwenzenu kilemba cha ukoka.
Kama kuna kitu kinachofanya nizidi kumpenda na kumthamini Kikwete na nna uhakika ni hicho-hicho kinamfanya azidi kuchukiwa na wengine ni pale alipoweza kuutafuna mfupa uliomshinda fisi.

Jakaya Mrisho Kikwete ameweza kuvunja monopoly ya mashule iliyokuwa ikihodhiwa na Makanisa. Shule nyingi sana za Secondary zilikuwa za Kanisa au ziko chini ya Kanisa kabla ya Kikwete kuchukuwa madaraka, baada ya miaka minne tu tukaona shule nyingi zaidi za Sekondari ni za Serikali kwa mara ya kwanza toka nchi hii iwepo na kabla ya kuwepo.

Nnampa kila pongezi na hongera kwa hilo na nna uhakika wengi wanamchukia kwa hilo, ni ukweli usiopingika idadi ya 83/17 itashuka kwa kiwango kikubwa tu, baada ya miaka 3 kuanzia sasa idadi hiyo itakuwa 60/40 wanaopenda wapende wasiopenda wasipende.

Ni ukweli usiopingika hata vyuo vikuu kwa sasa tunaona mabadiliko. Hongera Jakaya Mrisho Kikwete.
 
Samahan wewe yaelekea unakaa mjini hlo ni moja,pili haujui kiundan changamoto zinazokabili hzo shule za Kikwete unazosifia "Kabla ya kuandika kusanya data ndio uandike sio uandike kupotosha"
Mfano kuna wilaya wakati nilienda wilaya moja kufanya utafiti wa hzo shule ya J.K nikakuta shule kwa zaid ya miaka 3 ina waalimu watatu wa masomo ya sanaa(Arts) sayansi na hesabu watoto hawajawah kufundishwa unategemea hao kidato cha nne watapata nin?huo ulikuwa ni mfano vp hzo shule hazina waalimu kabisa hasa wa masomo ya sayansi.
Uhaba wa nyumba za waalimu nalo ni tatizo sana,waalimu wanatembea zaid ya km 10 kwa siku kwenda kufundisha kutoka eneo analokaa ambalo angalau kapata kibanda chenye hadhi kidogo unategemea akifika shulen kachoka vipindi vingap ataamua aache,au anafika hapo shulen saa nne vipindi vya asubuh hajafundisha.Hapo ubora wa hzo shule uko wap?Maeneo mengine madarasa yamegeuka ndio nyumba za waalimu jem ungekuwa wewe ungefurah na kujituma?
Miundo mbinu ya kufundishia ndio hamna kabisa,kuna uhaba mkubwa sana wa vitabu vya wanafunz kutumia pia vya waalimu sasa watoto watapataje elimu nzur kwa hali hyo,mtoto anategemea notisi za mwalimu tu hapati sehemu za rejea(reference) zaid angalau apate zaidi mwanga.
Katika ulimwengu huu sayansi bila vitendo ni sawa na kupaka rangi upepo,shule hzo hazina maabara kabisa na zilizonazo ni zile za zaman au zilizopo mjini,mtoto anamaliza form four haijui testtube,microscope n.k,sasa hapa tunatengeneza kizazi kisichokuwa na wanasayansi na kwa mantiki hyo tusahau mapinduz ya viwanda.Kwa taarifa yako watan wetu Kenya ukiipata sera yao ya elimu na utekelezaji hasa ktk sayansi hatuji wakuta.
Mtoa mada naomba ujenge hoja katika hizo hoja zangu labda nitakuelewa.Ila ukwel utabak shule za madhehebu ya dini,binafsi zitaendelea kufanya vizur kwasababu vitu vyote tajwa hapo vinapatikana katika shule hizo hata kama ipo kijijini sana "nawakilisha"

Ungekuwa huna shule hao waalimu ungewapeleka wapi? ungekuwa huna shule ungejenga nyumba za waalim? ungekuwa huna shule ungeongeza wanafunzi? ungekuwa huna shule ungevunja monopoly? ungekuwa huna shule ungejenga vyoo?

Usishangae shule kutokuwa na vyoo, utamaduni wa vyoo kwa watu wa bara umeanza hivi karibuni tu. Wewe alikotoka babu yako kuna vyoo? Usijali, tutawafundisha taratibu utamaduni wa vyoo na utamaduni wa kutumia maji unapomaliza haja zako, muda si mrefu mtaanza kujenga vyoo na kuvitunza ipaswavyo.
 
Kwa kumbukumbu nilizonazo ni kuwa, Mazengo Secondary hapo zamani ikiitwa Alliance Secondary imerudishwa kwa kanisa la Anglican imekuwa St John University. Tuache ushabiki na tuongee ukweli, kwa mfano tulinganishe vilivyokuwa Chuo cha Tanesco Msamvu - Morogoro na iliyokuwa Amon Nsekela NBC College Iringa, zote zilichukuliwa na taasisi za dini katika almost wakati mmoja na kuwa vyuo vikuu, nashauri uvitembelee leo na utafakari maendeleo, kimoja kimedoraaaaaaa na kimoja kimepaaaaaa, kajioneee mwenyewe usingoje kuambiwa, mambo ni mwendo mdundo, kila mmoja mwelekeo wake!!!

Naona umesahau kuhusu MoU.
 
Ungekuwa huna shule hao waalimu ungewapeleka wapi? ungekuwa huna shule ungejenga nyumba za waalim? ungekuwa huna shule ungeongeza wanafunzi? ungekuwa huna shule ungevunja monopoly? ungekuwa huna shule ungejenga vyoo?

Usishangae shule kutokuwa na vyoo, utamaduni wa vyoo kwa watu wa bara umeanza hivi karibuni tu. Wewe alikotoka babu yako kuna vyoo? Usijali, tutawafundisha taratibu utamaduni wa vyoo na utamaduni wa kutumia maji unapomaliza haja zako, muda si mrefu mtaanza kujenga vyoo na kuvitunza ipaswavyo.

sasa nimejua kumbe wewe ni wale mnaojua majengo ndio shule pole sana.Elimu ni zaidi ya majengo utaweza jenga majengo mazuri kama hamna vitabu watoto watasoma hlo jengo,hlo jengo litafundisha?hlo jengo litawapa malaz waalimu?hlo jengo litakuwa vifaa vya maabara?
Kwa taarifa yako bara walijua vyoo mapema kuliko huko pwan unakosema na ndio maana mpaka leo mnajisaidia baharini hamtaki kujenga vyoo "shame on u".
Ebu fanya tafiti wasomi wengi wanatoka bara ambako unafananisha na pwan!kaka hauna hoja umekulupuka jipange
 
Kila siku huwa nasoma humu Jamvini kuna kundi linalojitapa kuwa la wasomi Tanzania swali langu hivi huo usomi wao umelisaidiaje taifa letu?
 
hayo ni majengo tu hule hamna...hebu fikiria wasomi wetu kwa mfano engineering wamefanya nini? kama unauwezo hebu katazame discovery chanel ya dstv uone ynayoendele.pili angalia hata barabara tu za kichina wasimamizi wa ktz hamna
 
Kama kuna kitu kinachofanya nizidi kumpenda na kumthamini Kikwete na nna uhakika ni hicho-hicho kinamfanya azidi kuchukiwa na wengine ni pale alipoweza kuutafuna mfupa uliomshinda fisi.

Jakaya Mrisho Kikwete ameweza kuvunja monopoly ya mashule iliyokuwa ikihodhiwa na Makanisa. Shule nyingi sana za Secondary zilikuwa za Kanisa au ziko chini ya Kanisa kabla ya Kikwete kuchukuwa madaraka, baada ya miaka minne tu tukaona shule nyingi zaidi za Sekondari ni za Serikali kwa mara ya kwanza toka nchi hii iwepo na kabla ya kuwepo.

Nnampa kila pongezi na hongera kwa hilo na nna uhakika wengi wanamchukia kwa hilo, ni ukweli usiopingika idadi ya 83/17 itashuka kwa kiwango kikubwa tu, baada ya miaka 3 kuanzia sasa idadi hiyo itakuwa 60/40 wanaopenda wapende wasiopenda wasipende.

Ni ukweli usiopingika hata vyuo vikuu kwa sasa tunaona mabadiliko. Hongera Jakaya Mrisho Kikwete.
Nilikuwa najiuliza nini chanzo cha matokeo ya sekondari kushuka kwa kasi ya sunami. Kumbe mojawapo ya sababu ni hizi za kujaribu kuwa mmiliki wakati zilizokuwapo mikononi mwa serikali wao wameshindwa kuziendesha. Lengo sio kuziendeleza basi kuna lengo lingine lililojificha!!! KUZIUA KABISA!!!!
 

Pamoja na kuanzisha post isiyokuwa na kichwa wala miguu, kibaya zaidi umsema UONGO. Kama unazaungumzia Minaki iliyo Kisarawe, UMEDANGANYA na hivo unakosa haki ya kutetea hoja yako.

Nilichaguliwa kwenda Minaki 1988 na kuondoka 1994 miaka mingi kabla ya hapo ilikuwa ni shule ya Serikali baada ya kuchukuliwa kutoka kanisa la Anglican kwa jina na St. Martin's. Kikwete kaja madarakani 2005, unasemaje Kikwete kavunja monopoly?? Au ulikusudia kusema Mwalimu Nyerere??

Hilo si la msingi. Kumbuka hili, "never sacrifice quality for quantity". Ni hiki ndicho unachotakiwa kumsifia Kikwete na matokea yake tunayaona. Shule za kata, all time low educational performance na vitu kama hivo.

Usidanganye ndani humu!!
 
Sasa wewe ulitaka nikufagilie wewe? umefanya nini zaidi cha kufagiliwa? Kikwete kajenga shule za Sekondari zaidi ya 6000 katika kipindi chake cha miaka 6. Ni zaidi ya shule zote za Sekondari zilizokuwepo kabla ya yeye kuwa madarakani, Jee, ni dogo hilo?

kama issue ni kuongeza shule za sekondari basi ungeishia hapo usubiri maoni ya wana jf. sasa umeenda mbali kusema habari za kanisa. Shule nyingi za kanisa zimechukua watu wote bila kujali imani isipokuwa zile za seminari kwa hivo nazo zilistahili kupongezwa kwa maana ya kukuza elimu kwa watanzania.
 
zis is ze pumba spekin in zis taim. Braza, nekst taim trai tu uz yua guud akiliz
 
Back
Top Bottom