Kikwete avunja monopoly

zomba

JF-Expert Member
Nov 27, 2007
17,240
3,910
Kama kuna kitu kinachofanya nizidi kumpenda na kumthamini Kikwete na nna uhakika ni hicho-hicho kinamfanya azidi kuchukiwa na wengine ni pale alipoweza kuutafuna mfupa uliomshinda fisi.

Jakaya Mrisho Kikwete ameweza kuvunja monopoly ya mashule iliyokuwa ikihodhiwa na Makanisa. Shule nyingi sana za Secondary zilikuwa za Kanisa au ziko chini ya Kanisa kabla ya Kikwete kuchukuwa madaraka, baada ya miaka minne tu tukaona shule nyingi zaidi za Sekondari ni za Serikali kwa mara ya kwanza toka nchi hii iwepo na kabla ya kuwepo.

Nnampa kila pongezi na hongera kwa hilo na nna uhakika wengi wanamchukia kwa hilo, ni ukweli usiopingika idadi ya 83/17 itashuka kwa kiwango kikubwa tu, baada ya miaka 3 kuanzia sasa idadi hiyo itakuwa 60/40 wanaopenda wapende wasiopenda wasipende.

Ni ukweli usiopingika hata vyuo vikuu kwa sasa tunaona mabadiliko. Hongera Jakaya Mrisho Kikwete.
 
kwaio kikwete yupo kwa ajili ya kupambana na KANISA TAKATIFU? Basi kama ni ivyo mwambie asijaribu, nadhani ata wewe unajua hakuna aliyewahi pambana na KANISA TAKATIFU akasalimika...

Kabla hujaenda mbali sana jiulize hizo shule wanaofaulu kwa kiwango kizuri ni akina nani waislam au Wakristo??
 
Kama kuna kitu kinachofanya nizidi kumpenda na kumthamini Kikwete na nna uhakika ni hicho-hicho kinamfanya azidi kuchukiwa na wengine ni pale alipoweza kuutafuna mfupa uliomshinda fisi.

Jakaya Mrisho Kikwete ameweza kuvunja monopoly ya mashule iliyokuwa ikihodhiwa na Makanisa. Shule nyingi sana za Secondary zilikuwa za Kanisa au ziko chini ya Kanisa kabla ya Kikwete kuchukuwa madaraka, baada ya miaka minne tu tukaona shule nyingi zaidi za Sekondari ni za Serikali kwa mara ya kwanza toka nchi hii iwepo na kabla ya kuwepo.

Nnampa kila pongezi na hongera kwa hilo na nna uhakika wengi wanamchukia kwa hilo, ni ukweli usiopingika idadi ya 83/17 itashuka kwa kiwango kikubwa tu, baada ya miaka 3 kuanzia sasa idadi hiyo itakuwa 60/40 wanaopenda wapende wasiopenda wasipende.

Ni ukweli usiopingika hata vyuo vikuu kwa sasa tunaona mabadiliko. Hongera Jakaya Mrisho Kikwete.
Kwamfano shule gani?
 
kwaio kikwete yupo kwa ajili ya kupambana na KANISA TAKATIFU??basi kama ni ivyo mwambie hasijaribu,nadhani ata we FF unajua hakuna aliyewai pambana na KANISA TAKATIFU akasalimika...


Kabla ujaenda mbali sana jiulize hizo shule wanaofaulu kwa kiwango kizuri ni akina nani muhamadans au Wakristo??

Anataka kupambana na kanisa Takatifu Katoliki?...... by the way kumbe ni huyo saburi ribosome ngoja nilale zangu.
 
Huyu Rib.... ni mtu anayetetea sana JK na watu wake, nadhani na chama pia. mkisoma posts zake mtaona, ni kama yumo humu kumfagilia JK kila mara,

kwa nini basi hauendi na kwenye magazeti na wasio na kutumia mtandao wakusome pia.

ulichoongea hapo juu hakieleweki.
 
Kweli naona unajitahidi mkuu Ribosome kupambanua mambo hebu rudisha kumbukumbu zako nyuma kidogo..

Unaifahamu shule iitwayo Forodhani sasa hivi inaitwaje?!!!!.... Ahaaa ngoja nikusaidie maana kichwa chako kimejaa matope sasa hivi inaitwa St. Joseph Millenium na matokeo yake ya form four unajua yalikuaje ehh..... huo ni mfano mdogo tu..

Sasa hivi kanisa liko katika harakati za kuirudisha shule ya Pugu iwe under control ya kanisa... got that ... na bado zingine zitarudi tuuu off my eyes.
 
Kweli naona unajitahidi mkuu ribosome kupambanua mambo hebu rudisha kumbukumbu zako nyuma kidogo.. Unaifahamu shule iitwayo Forodhani sasa hivi inaitwaje?!!!!.... Ahaaa ngoja nikusaidie maana kichwa chako kimejaa matope sasa hivi inaitwa St. Joseph Millenium na matokeo yake ya form four unajua yalikuaje ehh..... huo ni mfano mdogo tu..
Sasa hivi kanisa liko katika harakati za kuirudisha shule ya Pugu iwe under control ya kanisa... got that ... na bado zingine zitarudi tuuu off my eyes.

Naona hujui kuwa Forodhani ilikuwa St. Joseph kabla ya kuwa Forodhani.
 
Huyu Rib.... ni mtu anayetetea sana JK na watu wake, nadhani na chama pia. mkisoma posts zake mtaona, ni kama yumo humu kumfagilia JK kila mara,

kwa nini basi hauendi na kwenye magazeti na wasio na kutumia mtandao wakusome pia.

ulichoongea hapo juu hakieleweki.

Sasa wewe ulitaka nikufagilie wewe? umefanya nini zaidi cha kufagiliwa? Kikwete kajenga shule za Sekondari zaidi ya 6000 katika kipindi chake cha miaka 6. Ni zaidi ya shule zote za Sekondari zilizokuwepo kabla ya yeye kuwa madarakani, Jee, ni dogo hilo?
 
Ribosome una bahati mbaya sana kwamba hujui chochote kinachoendelea katika nchi hii na unakurupuka tu. Wala hujui kwamba kilichowezesha mafanikio makubwa ya shule za serikali kuonekana nyingi kushinda zile za binafsi na za makanisa ni mipango madhubuti ya serikali ya awamu ya tatu.

Ninasikitika kwamba pamoja na plan nzuri ambazo serikali ya awamu ya tatu ilikuwa nayo dhidi ya PEDP na SEDP, bado Kikwete ameshindwa kuimplement kwa usahihi, ilihali bajeti ya kuendeshea mipango hiyo ilikuwa tayari imeshatengwa. Ni aibu kubwa kwa mtu mwenye akili timamu kusimama na kusifia mafanikio haya kuwa ni matunda ya Kikwete.

Na zaidi ya yote nataka nikuhakikishie kwamba tangu kikwete ameingia madarakani hajafanikiwa kuchukua shule yoyote kutoka kanisani, badala yake nyingi zilizokuwa serikalini zimerudi kanisani.

NItaanza kukupa mifano:
Shule ya Msingi Mdete Njombe ilirudishwa kanisani, shule ya sekondari Rugambwa-Kagera ipo mbioni kurudishwa kanisani, shule ya sekondary ya Mazengo, imerudishwa kanisani, shule ya sekondary ya Minaki inarudishwa kanisani ili kuibadilisha kuwa chuo kikuu na nyingine nyingi ikiwemo Njombe secondary inayokwenda kuwa chuo kikuu kishiriki cha tumaini. Sasa una lipi la kumsifia Kikwete.

Nakusikitikia kwa kuwa huna unalolifahamu kuhusu kinachoendelea nchini.
 
Sasa wewe ulitaka nikufagilie wewe? umefanya nini zaidi cha kufagiliwa? Kikwete kajenga shule za Sekondari zaidi ya 6000 katika kipindi chake cha miaka 6. Ni zaidi ya shule zote za Sekondari zilizokuwepo kabla ya yeye kuwa madarakani, Jee, ni dogo hilo?

Unamaana kwamba pesa zakujenga izi shule zimetoka mfukoni mwake?na shule unazozisema ni izi za kata ambazo tumezijenga kwa michango yetu wenyewe!
 
Huyu Rib.... ni mtu anayetetea sana JK na watu wake, nadhani na chama pia. mkisoma posts zake mtaona, ni kama yumo humu kumfagilia JK kila mara,

kwa nini basi hauendi na kwenye magazeti na wasio na kutumia mtandao wakusome pia.

ulichoongea hapo juu hakieleweki.

na wewe mbona ni kinyume chake lakin huombi waungwana tukushangae!
 
Back
Top Bottom