Kikwete atua Botswana

Status
Not open for further replies.
Watanzania wamegoma kuonana na kikwete kutokana na wao kudai hawaoni sababu,wengine wapata hasira waliposikia anakuja wadai anawafanya Watanzania kuwa maskini zaidi,habari kamili zinafata​

b1.jpg
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili Uwanja wa Ndege wa Sir Serese Khama jijini Gaberone, Botswana, leo February 24, 2012 kwa ziara ya kikazi ya siku mbili ambapo pia athudhuria sherehe za miaka 50 YA Chama Tawala Nchini Botswana Democratic Party . hapo uwanjani amepokelewa na Rais wa Botswana Luteni generali Seretse Khama Ian Khama.
 
Natoa Taarifa wana JF. Mzee wa Kaya amealikwa kuwa mgeni rasmi Botswana katika kusherehekea miaka hamsini ya Chama ambacho kililetea nchi ya Botswana uhuru.

Chama chenyewe ni Botswana Democratic Party (BDP) na anatakiwa kutoa hotuba. Pamoja na kwamba hiki chama ni swahiba mkubwa na CCM hiki ni chama makini ambacho kimefanya nchi ya Botswana kuwa miongoni mwa nchi ambazo corruption is very low na utajiri wa madini yake unatumika kuendeleza taifa. Na katika foregn reserve wana pesa nyingi tu na hawahitaji msaada kuendesha nchi yao.

Ukilinganisha mali asili walizo nazo na za kwetu we are very far rich than them but our system is disappointing us. Botswana huwezi kuona magari ya serikali yakitumika hovyo baada ya saa za kazi, mawaziri ni watu wa kawaida sio miungu watu tunakutana nao mitaani. Mzee wa Kaya angelikuwa muungwana angejifunza kwa hiki chama cha BDP na kwenda kubadilisha chama chake ambacho kinalaumiwa na kimewafanya wananchi duni.

Nawasilisha.
 
jamani jamani JK katua huko kwa bahati MBAYA anawakwepa al-shabab baada ya kukubali kuwapa kibano, na unajua jeshi letu la police limewashindwa, labda amepata taarifa za ki intelegensia kutoka kwa IGP Muuaji kuwa Al-shabub wasogea songea
 
Ndiyo muone rais mliyempatia kura zenu huyo...

Sasa tunataabika sote,tusiompa na nyie mliompa..
 
Amepania kuweka rekodi "iliyotukuka" ya kusafiri kuliko rais yeyote kwa karne kadhaa zijazo...so he's determined to accomplish his unsavoury mission.

Just keep that list of his leissure trips intact!
 
Kumbe Botswana kwa wakati huu kuna mnuso wa KI-CHAMA lakini wengine tunatumia rasilmali za KI-SERIKALI kwenda huko kucheza na Makirikiri!!!!!!!!!

World Bank, wenzenu huku Tanzania ndio kama hivo tumeshaanza kujibania matumizi na kujiwekea vipaumbe muhimu zaidi kitaifa. Asanteni sana kwa ushauri wenu murua!


attachment.php


Laana unayo wewe usiyeheshimu wakubwa wako! kila jambo lina ngazi zake za utekelezaji! Haiwezekani kila jambo rais aingilie kati utafikili hakuna watendaji.
 
  • Thanks
Reactions: Zed
Kumbe Botswana kwa wakati huu kuna mnuso wa KI-CHAMA lakini wengine tunatumia rasilmali za KI-SERIKALI kwenda huko kucheza na Makirikiri!!!!!!!!!

World Bank, wenzenu huku Tanzania ndio kama hivo tumeshaanza kujibania matumizi na kujiwekea vipaumbe muhimu zaidi kitaifa. Asanteni sana kwa ushauri wenu murua!


attachment.php
Ndio kilichompeleka huko...
 
Jk kafanya urais uwanekane simple sana just why wakina six mamvi wanautamani kwa udi na uvumba
 
"Najiulizaga" huyu jamaa ile hali ya "u-waziri wa mambo ya nje" haujamtoka bado au?

Ni ushamba tu unamsumbua. Sijui haoni hata aibu kila siku kutembelea nchi za watu. Wala hajiulizi kwa nini wenzie hawamtembelei yeye!!! Hakika Dr. Slaa hakukosea kwamba huyu jamaa ni janga la kitaifa.
 
Nani kakwambia tuna serikali, hatuna serikali nchi inajiendesha yenyewe! Ni vema kuwa na raisi dicteta lakini siyo huyu jamaa!! Lakini their days are really numbered, they gonna pay for teir deeds.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom