Tutafika
JF-Expert Member
- Nov 4, 2009
- 1,443
- 631
Dah! Kumbe @ jambo analofanya Mh. JK linaangaliwa kwa jicho la udini?Masikini rais wangu utapata wapi Watanzania wasio na Dini?
Dawa ni kuwapuuza waruke ruke weee, mwisho watakufa na idea zao. Taifa linasonga mbele