figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
Maasikofu wa madhehebu mbalimbali ya kikristo wameandaa mkesha wa mwaka mpya ambao utafanyikia uwanja wa taifa. Madhumuni makubwa ya huo mkesha ni ni kutoa kauli ya kupinga na kupiga vita ushoga. watatumia nafasi hiyo kuliombea taifa dhidi ya majanga mbalimbali. katika sherehe hizo wamemwalika Mh.dr. Rais Jakaya wa Tanzania kama mgeni Rasmi. Je ataweza kuhudhulia mkesha huo wa kupinga ushoga??. hadi sasa hivi mimi binafsi sijaskia sehemu yoyote ambayo kikwete anapinga ushoga hadharani. Tusubili tuone. Mia