Jile79 JF-Expert Member May 28, 2009 17,668 13,237 Oct 21, 2010 #1 Huyu kikwete mgonjwa wa kuanguka hasa akikanyaga jangwani, ataweza kurudi kuhitimisha kampeni zake jangwani?......wenye ratiba watusaidie ili tuje fuatilia tukio japo sheikh yahaya amemuongezea ulinzi wa majin
Huyu kikwete mgonjwa wa kuanguka hasa akikanyaga jangwani, ataweza kurudi kuhitimisha kampeni zake jangwani?......wenye ratiba watusaidie ili tuje fuatilia tukio japo sheikh yahaya amemuongezea ulinzi wa majin
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Nov 13, 2009 43,707 60,760 Oct 21, 2010 #3 Loh! Ina maana uchaguzi utaahirishwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mlachake JF-Expert Member Oct 13, 2009 4,412 4,559 Oct 21, 2010 #4 Kishongo said: Upuuzi!!! Click to expand... upi?