Mtz,
Hizi ni pesa ambazo mabosi wa vitengo hutengewa kwa ajili ya CSR so hata kama asingechangia huko angezipeleka sehemu nyingine au kuzirudisha wizarani (note bado miezi mitatu) fedha zote zilizo bakia inatakiwa zirudishwe hazina!
Cha msingi ni kujiuliza, uchangiaji wa madarasa was the only best priority ya huyu mkuu?
Mkuu,
Hiyo CSR ndio nini? Kwanini asizipeleke kwenye miradi ya kuneemesha hali za wanajeshi?
I hope hawaendi kuwakata wanajeshi mwisho wa mwezi kama ilivyokuwa zamani.