Jamani mnatakaje?, inamaana mpaka leo hamjui kama kichwa chake siyo kizuri yaani ni mgonjwa ukizingatia hajaenda USA...Sina hakika kama kichwa yake iko sawa. Mgombe kuogopa midaharo???!!!
Kikwete bananadhani ule ugonjwa wa kuanguka umezaa ugonjwa wa akili.......ooooooops nlisahau ni ule U-DK wa kupewa while kichwani empty.....nilisahau pia kuwa uwezo wake wa kufikiri ni dhifu.................hata hivyo he need to rest maana afya yake ina migogoro.....by the way hivi alipona ile heatt attack aliyoipata baada ya hotuba ya slaaa?