"sitaki kura za watazamaji wa mdahalo wa Dr Slaa" KIKWETE
mmh...sasa mumuache baba wa watu...rais tushamjua.....atake kura asitake....inahuu!!
Hivi CCM wanajisikiaje wanavyochanwa liveeee. kwanini wasiseme yaishe wakabidhi mkoba?
halafu kunamijinga inatetea upuuuzi huuu, ccm wamechelewa kumpiga chini mtu huyu!sidhani kuna ambaye anamuhitaji hata yeye. Mgombea muoga wa midaharo!! Never see before!! Hana hata aibu!! Sina hakika kama kichwa yake iko sawa. Mgombe kuogopa midaharo???!!! Unabaki danganya watu majukwaani tu!! Shame on ccm party.
mmh...sasa mumuache baba wa watu...rais tushamjua.....atake kura asitake....inahuu!!
za watazamaji hazitaki, za wafanyakazi hazitaki pia, anataka zipi au ndio za kuiba
Nimesikia pia hataki na za wana jf