Kikwete apokelewa kwa mabango na bendera za upinzani!

Alivunjwa mkono baada ya kukataa kusaini matokeo, habari isiyo rasmi ni kuwa walikuwa na lengo la kummaliza. Alilazwa hospitali ya wilaya Tandahimba baadae akaletwa Muhimbili kwa Matibabu zaidi!
Mkuu ana kadi ya chama yule, Lile tukio lilikuwa ni la aina yake kwani baraza la usalama la wilaya lilikutana ni mkuu wa taasisi ya kuzuia rushwa tu Bw. Mtera ndiye aliyekataa mpango wa kumtangaza mtu tofauti na katika kile kikao aliahidi kusema ukweli kama atahitajika kufanya hivyo.

Baada ya uchaguzi ndani ya wiki mbili akahamishwa wilaya kwani walimuona kuwa mwiba kwao!
 
Alivunjwa mkono baada ya kukataa kusaini matokeo, habari isiyo rasmi ni kuwa walikuwa

Hii nayo ni uongo, msimamizi wa kituo cha uchaguzi hawezi kuvunja mkono wa mtu kwa kukataa kusaini!
 
Daaah, kweli dhuluma mbaya. Unaona sasa hata raha ya uongozi jamaa haifaidi. Anashindwa hata kuwapungia mkono wananchi anaowaongoza!!!!! Kesho utamsikia m.k.w.e.r.e kageuza kibao anaenda zake ulaya kula bata ambako hakuna maandamano wala mabango.
hana taabu huyo,kidogo tu utamsikia huyoooooooo kwa obama maaana huku pamenuka
 
Tutaendelea kuandamana mpaka hii serikali iondoke madarakani.

Kikwete ni mwizi wa kura, assets na fedha za taifa.

Uhakika upo kikwete afiki 2015.
 
Si kweli, mtu hawezi kuvunjwa mkono na kulazimishwa kusaini matokeo.

Mkono kavunjwa, kasaini na mguu?

Kama alivunjwa mkono asioutumia kuandikia kwa nini aendelee kuteseka? Yawezekana kweli alisaini maana wanaolalamikia tukio hilo si wagonjwa wa akili.

CCM ilibadili matokeo mengi nchi nzima na hata yale waliyoyaridhia ilikuwa ni kwa sababu ya Pressure ya wananchi. Shame to CCM and their Kikwete!
 
jamani kama unahoja zako binafisi unatulia unaachi wachangiaji wengine hili mbona hata kwenye redio wlitanga lakuvunjwa mkono kwa katani
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Rais wa Tanzania J.M. Kikwete alijikuta anapata wakati mgumu pale alipokuwa anakatisha katika vijiji mbalimbali vya wilaya ya Tandahimba. Mheshimiwa huyo alijikuta akipita kwa kasi katika baadhi ya vijiji bila kusimama na wala kupunga mkono kama ilivyo kawaida baada ya kukuta mabango ambayo wananchi walikuwa wanadai kurudishwa kwa mbunge wao aliyechakachuliwa. "TUNAMTAKA MBUNGE WETU ALIYECHAKACHULIWA", "HATUMTAKI NDONDOCHA WENU MLIETUWEKEA" "TUNATAKA KESI YA KATANI IISHE" Hivyo ndivyo yalivyosomeka baadhi ya mabango huku bendera za upinzani zikipamba bara bara za vijiji hivyo.

Bendera za vyama nilizobahatika kuziona ni CUF, CHADEMA, NCCR na TLP. Kikwete alipita maeneo hayo kwa lengo la kuwashukuru wananchi kwa kumpigia kura lakini hakufanya hivyo kutokana na mapokezi hayo ya aina yake!


Kwani si walienda huku wakitambuwa kuwa huyo ni Rais wa Watanzania wote bila kujali vyama? Hao waliofanya hivyo walifanya wakijuwa kuwa yeye ndie atakaeweza kutatuwa matatizo yao na hizo bendera hawakutaka kuwa wanafiki na kuchukuwa bendera za chama kisicho chao (Magamba)
 

Kama alivunjwa mkono asioutumia kuandikia kwa nini aendelee kuteseka? Yawezekana kweli alisaini maana wanaolalamikia tukio hilo si wagonjwa wa akili. CCM ilibadili matokeo mengi nchi nzima na hata yale waliyoyaridhia ilikuwa ni kwa sababu ya Pressure ya wananchi. Shame to CCM and their Kikwete!
Kwani mgonjwa tu ndie hulalamika?
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Rais wa Tanzania J.M. Kikwete alijikuta anapata wakati mgumu pale alipokuwa anakatisha katika vijiji mbalimbali vya wilaya ya Tandahimba. Mheshimiwa huyo alijikuta akipita kwa kasi katika baadhi ya vijiji bila kusimama na wala kupunga mkono kama ilivyo kawaida baada ya kukuta mabango ambayo wananchi walikuwa wanadai kurudishwa kwa mbunge wao aliyechakachuliwa. "TUNAMTAKA MBUNGE WETU ALIYECHAKACHULIWA", "HATUMTAKI NDONDOCHA WENU MLIETUWEKEA" "TUNATAKA KESI YA KATANI IISHE" Hivyo ndivyo yalivyosomeka baadhi ya mabango huku bendera za upinzani zikipamba bara bara za vijiji hivyo.

Bendera za vyama nilizobahatika kuziona ni CUF, CHADEMA, NCCR na TLP. Kikwete alipita maeneo hayo kwa lengo la kuwashukuru wananchi kwa kumpigia kura lakini hakufanya hivyo kutokana na mapokezi hayo ya aina yake!


ndo dawa yao, waache vimbelembele
 
<font size="3"><span style="font-family: arial">Si kweli, mtu hawezi kuvunjwa mkono na kulazimishwa kusaini matokeo. <br />
<br />
Mkono kavunjwa, kasaini na mguu?</span></font>
<br />
<br />

Nyie waandika pumba mnaboa sasa si uulize kama hauelewi maana mie nimemuelewa.

Kwanza kasema mkono (hii ni mmoja)

Pia kama unashuku uliza as mie naamini unyama unaweza fanywa na polisi ok
 
tatizo la tandahimba wakati wa utangazaji wa matokeo ni media coverage ndogo, lkn hali ilikuwa kama nyamagana na arusha, ziara ya kikwete tandahimba nilikuwa pale kitama alihutubia wanafunzi baadae ikabidi amkaribishe salma ili aongee kama mwalimu wao, kisha akaenda ktk uwanja wa ujenzi wa ghala la mazao (TANECU) pale walijaa watumishi, viongozi wa vyama vya msingi na maafisa usalama. jk namuhurumia maana hawezi pata watu hata robo ya watu anaopataga katani ktk mikutano yake.
 
kwa hio CCM walichakachua kiasi hiki....hahahaaaa naomba kalamu nipigie jibu mstari
 
<font size="3"><span style="font-family: arial">Si kweli, mtu hawezi kuvunjwa mkono na kulazimishwa kusaini matokeo. <br />
<br />
Mkono kavunjwa, kasaini na mguu?</span></font>
<br />
<br />
Wamekwambia alikuwa na mkono mmoja?
 
Bendera za vyama nilizobahatika kuziona ni CUF, CHADEMA, NCCR na TLP. Kikwete alipita maeneo hayo kwa lengo la kuwashukuru wananchi kwa kumpigia kura lakini hakufanya hivyo kutokana na mapokezi hayo ya aina yake!

wangemweleza pia hata yeye aliiba kura na alishindwa na Dr. Slaa na kama siyo kubebwa na usalama na nec mambo yangelikuwa vinginevyo.....
 
Peoples' power, asikimbie wananchi hao hao ndo aliowaibia kura zao hata akawa mkuu wa kaya ati.
 
Back
Top Bottom