swerikali zinazoingia madarakani kwa michango ya wala rushwa ni vigumu sana kupambana na walarushwaSina hakika kama rais ana ujasiri wa kuchukua hatua kali dhidi ya mafisadi, wauza madawa ya kulevya, wala rushwa ambao ni watawala au wana nguvu za fedha na Wahujumu uchumi wengine. Ni hakika ana ujasiri wa kuchukua hatua kali za kisheria dhidi ya Walalahoi watakaojihusisha na vitendo viovu nilivyovitaja hapo juu. Lakini pia bila kujali nafasi au pesa yeyote anayegusa maslahi ya chama au maslahi binafsi ya watawala ni lazima ashughulikiwe iwe ni kwa kufuata sheria au kutofuata. Hii ni hatari.
Mjaha sana tu humu JF. Jukwaa la utani, majungu, wivu na chuki. Hivi hakuna yeyote mwenye kuanzisha jukwaa lenye mweleko wa kisomi?