BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,007
| ||
|
| ||
|
atajiwe majina mara ngapi? mh Slaa wa cdm aliyaanika wazi majina ya mafisadi JK akiwa mmoja wao-alichukua hatua gani?
haya naanza kumtaja yeye alihongwa suti tano na dola milioni moja -wiki liks!
Mjaha sana tu humu JF. Jukwaa la utani, majungu, wivu na chuki. Hivi hakuna yeyote mwenye kuanzisha jukwaa lenye mweleko wa kisomi?
Mjaha sana tu humu JF. Jukwaa la utani, majungu, wivu na chuki. Hivi hakuna yeyote mwenye kuanzisha jukwaa lenye mweleko wa kisomi?