Either way, bado kuna tafsiri nyingi sana za maneno amani na security. Wakati wewe unaweza kuongelea security ukimaanisha kuwa hakuna vibaka wa kukwapua simu yako, mwingine security yake anamaanisha hakuna wanyama mwitu wa kula mazao yake shambani.
Amani pia inaweza kuwa inaongelea ukosefu wa maandamano ya wanafunzi wa chuo kikuu wakati kwa wengine amani inamaanisha uhakika wa kupata mulo angalau mmoja kwa siku.
Katika yote haya bado Kikwete hajawa wazi kuwa anaongelea amani ya namna gani maana amani zote hizi (kwa tafsiri yoyote ile) bado imeshindwa kupatikana chini ya serikali ya ccm!
Hizi argunment za vijiweni na ushabiki wa vyama...I won't waste my energy and time