Kikwete aogopa kwenda Mwanza

LUINASIA

New Member
Apr 12, 2010
4
0
Habari za uhakika kutoka Wizara husika ya Maji zinasema JK ameogopa kwenda Mwanza kuwa mgeni rasmi kilele cha wiki ya Maji tarehe 22. Badala yake wakapendekeza awakilishwe na Makamu wa Raisi. Inasemekana kuwa JK analiogopa jiji la Mwanza kwa sasa kama ukoma na amesitisha kwa muda ujenzi wa makazi yake ya kupumzikia atakapostaafu huko Mwanza.
 
Habari za uhakika kutoka Wizara husika ya Maji zinasema JK ameogopa kwenda Mwanza kuwa mgeni rasmi kilele cha wiki ya Maji tarehe 22. Badala yake wakapendekeza awakilishwe na Makamu wa Raisi. Inasemekana kuwa JK analiogopa jiji la Mwanza kwa sasa kama ukoma na amesitisha kwa muda ujenzi wa makazi yake ya kupumzikia atakapostaafu huko Mwanza.

na maviwanda yake ya sayona tutayaitaifisha yote wameimaliza nchi kwa ufisadi sasa wanaogopa kun'golewa
 
Habari za uhakika kutoka Wizara husika ya Maji zinasema JK ameogopa kwenda Mwanza kuwa mgeni rasmi kilele cha wiki ya Maji tarehe 22. Badala yake wakapendekeza awakilishwe na Makamu wa Raisi. Inasemekana kuwa JK analiogopa jiji la Mwanza kwa sasa kama ukoma na amesitisha kwa muda ujenzi wa makazi yake ya kupumzikia atakapostaafu huko Mwanza.

kila mkoa ana nyumba ya kupumzika au?
Kwa nini asimfuate mwenzake Mkapa huko Lushoto?
 
Siyo Mwanza Tu Kwa kifupi hakuna sehemu anayokubalika labda kwa wakwere tu, nako nina mashaka pia!!!!!
 
Back
Top Bottom