Kikwete anusurika, awang’oa wenzake

...Au kurusha shilingi. Na je shilingi ikisimama wima kwenye nyasi?

Hii iliwahi kutokea katika mashindano ya mashamba ya mkonge MRWAZI KAMBA vs MAZULIA KILOSA,kombe lilikuwa share miezi sita/sita.
 
Da nimesoma habari hii, nimejikuta nacheka tu. Wabunge walipisha kichwa kichwa hawakujua kuwa ni kitanzi kwao du!
 
Da nimesoma habari hii, nimejikuta nacheka tu. Wabunge walipisha kichwa kichwa hawakujua kuwa ni kitanzi kwao du!

Mkuu, wabunge aina ya Anne Kilango unAtegemea wanasoma issues? Wao huambiwa ongea, na wataonge hadi Mp yake itabadilika lakini hata hawajui wanaongea nini na kwa matarajio yepi!
 
Always one needs to remember that with every single strategic move towered across another's, it is no different from a two-sided sharp-edged sword that can far easily cut deep into the skin of its pushers just as much as the very objective it is meat to do to ultimate target in there.

And this kind of situation may very well present an unforeseen 'political fishing pond' or 'dinning table' for a number of emerging 'brief-case political parties' other than CHADEMA.

CDM think-tanks, take cue on this.
 
.............. mabadiliko haya pia yanawazuia wafanyabiashara wakubwa ambao ni wabunge kupenya kirahisi NEC kama wana nia hiyo, ambao ni pamoja Aboud Aziz na Ahmed Shabib, lakini Rostam Aziz, anaweza kurudi kuwania u-NEC kwa sababu alijiuzulu ubunge ambao ni kikwazo kwa mujibu wa mabadiliko ya sasa.



Greenbold: Mimi sisemi kuwa mabadiliko haya yamefanywa ili kumpa nguvu zaidi za juu ya maamuzi yoyote yatakayofanywa na NEC, kwa kuwa eti wale ambao wangeweza kumpinga ki-maamuzi ndani ya NEC (hasa yanayohusu nani atawakilisha CCM kugombea urais 2015) wamebanwa na mabadiliko haya. Hapana mimi sisemi hivyo, la hasha !!
 
Raia Mwema wamepotoka kiasi fulani hapa.

Ukomo wa NEC kwa wote ni mwaka huu 2012 ambapo CCM inafanya Uchaguzi Mkuu. Hivyo wajumbe wote wa NEC wanapoteza nafasi zao. Kufuatia haya mabadiliko, basi uchaguzi huu wa CCM 2012 unawarudisha wote akina Lowassa, Chenge, Sitta, Mwakyembe, Ole Sendeka, Mhagama, Membe, Lukuvi, Mwandosya na wote ambao ni wabunge katika mpambano wa kugombania zile nafasi za u-NEC kupitia bunge. Nafasi zenyewe nadhani ni kama 8 kwa bara na 2 visiwani.

Kwa hapo utaona kundi ambalo litakuwa na support kubwa ya wabunge wa CCM ndiyo litakuwa na nafasi nzuri ya kurudisha watu wao kwenye NEC. Nachelea kuona nini itakuwa hatima ya akina Sitta, Ole Sendeka, Wassira na Membe haswa ukitilia maanani uhusiano wao na wabunge wa chama chao.

Ambao walidhani wataendelea na u-NEC kwa kirahisi basi watabutwaa kwa haya mabadiliko.

Ajabu nyingine ni kuwa wale waliotegemewa wangepinga haya mabadiliko kwa udi na uvumba, ndiyo hatimaye waliyakubali na kuyapitisha kwa kauli moja. Na sasa baadhi yao wameanza kuwazungukia wajumbe wa Mkutano Mkuu kuhakikisha kuwa mabadiliko ya katiba yanapita bila kupingwa wala kubadilishwa. Je, kunani hapo?
 
NEC ndicho "chombo" ambacho baada ya uchaguzi wake kukamilika baadaye mwaka huu, kitakuwa na dhima ya kuchuja na kupitisha mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.
Typical putrid press of Tanzania. Kilaza mmoja wa Raia Mwema kapewa aandike political article wakati hajui chochote kuhusu siasa.


Kazi ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ni "Kupendekeza kwa Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa majina yasiyozidi matatu ya Wanachama wanaogombea nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuyawasilisha mbele ya Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa."

 
Huyo ndio jakaya mtoto wa mjini na hayo ndio maamuzi magumu aliyokuwa akiyalilia Lowassa na genge lake na kudai jakaya hawezi kufanya maamuzi magumu.....kazi imekua rahisi kuliko ilivyotarajiwa.
 
Typical putrid press of Tanzania. Kilaza mmoja wa Raia Mwema kapewa aandike political article wakati hajui chochote kuhusu siasa.


Kazi ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ni "Kupendekeza kwa Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa majina yasiyozidi matatu ya Wanachama wanaogombea nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuyawasilisha mbele ya Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa."

mzee si unaambiwa kanuni zinabadilisha usiishi kwa kukariri mambo,wao ndio ccm na wao ndio walioweka hizo kanuni na katiba na wao ndio wameamua kuzibadili,msipenge kupinga kila kitu kwa kuwa tu hakijawafurahisha ama hamkipendi
 
mzee si unaambiwa kanuni zinabadilisha usiishi kwa kukariri mambo,wao ndio ccm na wao ndio walioweka hizo kanuni na katiba na wao ndio wameamua kuzibadili,msipenge kupinga kila kitu kwa kuwa tu hakijawafurahisha ama hamkipendi
Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa umekutana lini kubadili katiba ya chama kuruhusu Halmashauri Kuu kupitisha jina la mgombea urais wa CCM?

Kilaza mwingine wa press umekuja kumtetea mwenzako halafu unaendelea kuchemka kama kawaida, hivi mnafika fikaje kwenye media, mnaokotwa wapi nyinyi?
 
Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa umekutana lini kubadili katiba ya chama kuruhusu Halmashauri Kuu kupitisha jina la mgombea urais wa CCM?

Kilaza mwingine wa press umekuja kumtetea mwenzako halafu unaendelea kuchemka kama kawaida, hivi mnafika fikaje kwenye media, mnaokotwa wapi nyinyi?

mzee umeshawahi kuhudhuria mikutano mikuu ya ccm lakini au unahisi inakua ni kama board meeting hapo kazini kwako ambapo mnajadili na kushindana kwa hoja?asikwambie mtu mkutano mkuu huwa rubber stamp tu ya kuizinisha yalikyoamuliwa na vikao vya juu,niambie kuna kitu gani kimewahi kupelekwa mkutano mkuu kikarudi?msipende ku generalise mambo bila kuyajua sawasawa,wajumbe wa mkutano mkuu wenyewe kina Hadija kopa!
 
... mkutano mkuu huwa rubber stamp tu ya kuizinisha yalikyoamuliwa na vikao vya juu!
You mean vikao vya chini, hakuna kikao cha juu kuliko Mkutano Mkuu, first of all!

Second of all, you can not say Mkutano Mkuu una rubber stamp maamuzi ya Halmashauri Kuu kwa sababu Halmashauri Kuu inapeleka majina matatu, sasa Mkutano Mkuu una rubber stamp uamuzi wa jina lipi? hahahahaaa....that's extremely ridiculous.

Waandishi kwa nini msijielimishe kwanza kuhusu habari unayotaka kuchapisha gazetini?
 
Back
Top Bottom