wilemtendawema
Member
- Oct 16, 2010
- 6
- 0
Ndugu yangu Kishoka achana masuala ya Dini,Nchi hii haiongozwi kidini,hakuna Dini yoyote ile inayopendelewa ndani ya nchii inayoongozwa kwa utawala wa sheria.
Kwahiyo kakangu usiupotoshe umma wa watanzania kwa kuleta ubaguzi wa kidini.wewe unaonekana si mzalendo wa nchi ambaye unachochea mgawanyiko kwa watanzania kwa misingi ya kidini,wewe ni mtu hatari sana na wakuogopwa na watanzania wote.
Kikwete ni kiongozi ambaye yupo madarakani kwa maslahi ya Watanzania wote,walio na wasio na dini na hayupo hapo kwa maslahi au upendeleo kwa dini fulani.
Kwahiyo kakangu usiupotoshe umma wa watanzania kwa kuleta ubaguzi wa kidini.wewe unaonekana si mzalendo wa nchi ambaye unachochea mgawanyiko kwa watanzania kwa misingi ya kidini,wewe ni mtu hatari sana na wakuogopwa na watanzania wote.
Kikwete ni kiongozi ambaye yupo madarakani kwa maslahi ya Watanzania wote,walio na wasio na dini na hayupo hapo kwa maslahi au upendeleo kwa dini fulani.